Je ni mchafu, mvivu au kibri

Je ni mchafu, mvivu au kibri

Kila mtu akianza kuelezea experience zake na challenges anazopitia kwenye nyumba wote tutaishia kulia tu
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.

Ni tabia isiyovumilika aisee. Ila na wewe umewahi osha vyombo mara ngapi? Maana wanaume wenyewe huwa wanajitoa kabisa kwenye uoshaji wa vyombo. Mimi ukija kwangu, ukishakula unaenda na chombo chako moja kwa moja kwenye maji kuosha.
 
Huyo ni Mpenzi au Majanga?
Huyo hata ukimbeba na kaniki atachoropoka tu!"
 
Ni tabia isiyovumilika aisee. Ila na wewe umewahi osha vyombo mara ngapi? Maana wanaume wenyewe huwa wanajitoa kabisa kwenye uoshaji wa vyombo. Mimi ukija kwangu, ukishakula unaenda na chombo chako moja kwa moja kwenye sink kuosha.


Makubwa!!!
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.
ushauri uvioshe wewe, wewe mwenyewe unaonekana kitu USAFI kwako ni msamiati ndio maana hivyo vyombo vinakaa hata siku 3, wewe mwenyewe ingekuwa msafi ungeviosha ili umfundishe huyo la azizi wako kwa mfano na vitendo sio kupiga makele. Unakimbilia huko kumtangaza mwenzio ni mchafu, nyinyi wote wawili ni wachafu, kaeni chini pamoja mjifunze usafi. Mimi baba yetu alikuwa mtu wa kusafiri sana siku akirudi ghafla akute nyumba chafu anachofanya anafuta daily worker aje kusafisha,baada ya hapo sasa mkirudi kutoka shule hizo adhabu mtakazo PATA ni balaa.
 
Hata kama kuna mengi likni kuwa kuacha kuosha vyombo ndo suluhisho? wageni wakiingia ndani unafikiri nan ataonekana mchafu,muda mwingine inahitaji kuonyesha ukali kidogo ndo huwa wanakaa sawa habar ya kila siku hajaosha vyombo alivyotumia mwenyewe et unamtoa out au unaanza kumbemeleza ili iweje? huyo inaonyesha hata kwao alikuwa hivyo hivyo mwanamke msafi hayuko hivyo hata ukimkosea nguo zako anakufulia anakupikia anafanya usaf wa nyumba yake ila kuna sehemu anakubana mpaka unakubali na kumuomba msamaha

Kumbuka hapa tunajadili maelezo ya upande mmoja!! Tungeweza kuupa haki upande wa pili wa mke ndiyo tungeweza kupata picha halisi. Nina uzoefu sana wa haya maswala kwa kuyafanyia kazi kwa miaka kadhaa!!

Wanawake viumbe wa ajabu sana, we ukidevelop tabia hii na yeye anadevelep tabia ingine bila kujali athari zinaenda wapi na kwa nani.

Na ukumbuke wanawake wamepishana tabia kama wakwako ukimuudhi anaendelea kukupikia na kukufulia basi jua kuna mwanamke ambaye akiudhiwa analia au anasusa kufanya kazi za home, pia kuna wanaotoka na kusimama nje wakifunga vibwebwe na kukumwagia matusi yote ya ukoo wenu bila kujali watu.

Kumtoa outing haimaanishi unambembeleza maana wanaume wengi hili neno hawalipendi! Bali unampa nafasi aongee kinachomfanya awe hivyo, humo humo ndani mara nyingi hawawezi kuongea kwa hofu ya kum-defeat ila ikiwa sehemu tofauti na ukawa mtulivu huwa wanamwaga yooote!! Amini hilo

Ishu hapa ni kuondoa tatizo bila mikwaruzo kama wengi wanavyosema eti fukuza au piga au uza tv au kuwa mkali!! Hapo bado hujasolve kitu ila utakuwa umemlazimisha kufanya utakavyo but chanzo cha tatizo bado kipo pale pale!!


Tafuta chanzo cha tatizo ili hali hiyo isijirudie, kwa wanaume wengi huwa hatupo tayari kutafuta chanzo cha tatizo na tunaishia kuapply ubabe tu!! Si vyema

@haule.scola
 
Mkiwa wawili ndani ya nyumba msaidiane

Vyombo vinakaa siku tatu wewe huna mikono?

Halafu anaangalia tv mpaka saa tisa, mnajiggyjiggy saa ngapi?

Maswali ya msingi sana haya ingawa wengi wanajifanya hawayaoni!!

Inamaana humo ndani huwa hawazungumzi, hakuna muda wa mapendo baina yao?? Inaonekana jamaa akirudi ni kulala mke kwenye tv!!

Hapa ukichambua vizuri kuna matatizo makubwa zaidi ya wengi wanavyoyachukulia kirahisi rahisi!!
 
Si ajabu hajamchoka, inawezekana mwanamke ana mengi ya moyoni ila hiyo inaweza kuwa ndiyo njia ya kutafuta pa kuanzia kufikisha ujumbe wake. Walipoanza mapenzi alikuwa hivyo??

Amejaribu kumuuliza kwa upendo na taratibu kwa nini yuko hivyo? amejaribu kumtoa outing? amempa japo zawadi? kuna siku yeye amefika home akamuita mpenzi wake njoo tufanye hiki (kuosha vyombo labda) aone ata-respond vipi??

Au yeye akifika ni kufoka tuu bila kutafuta njia ya kumpa mwenzie nafasi atoe yaliyomo moyoni??

cc: @cj21125

Kwa hiyo dada anahitaji kubembelezwa na outing ili aoshe vyombo na kufanya usafi! Hebu tuache maigizo tuwe serious jamani huo ni
ungese ss
 
'Wamestaafu siasa' ili kukwepa kujibu tuhuma nzito dhidi yao, lakini inapokuja kwenye kuhudhuria mazingaombwe ya CCM yaliyomalizika hivi karibuni huko Dodoma bado 'wamo kwenye siasa.'

Timua, huyo siyo mwanamke! Ni binadamu mwenye jinsia ya kike.
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.

lets hope she is good inbed..maana lasivyoo
fanya maamuzi ya pilato mkuu
 
Masaki boyz ndo walivyo...
Hata kuoga wanayaka housegirl awaogeshe...
Wakisha kula wanataka hg aondoe vyombo. Hapo kazi ipo aisee , akifanya mchezo mama ataenda vacation kwa Obama sasa avumilie tu wanasemaga mvumilivu hula mbivu. akiangalia kideo inabidi na baba nae akaungane na wife sasa atafanyaje. Wakishakula amwambie waoshe vyombo visilale.
 
Kwa hiyo dada anahitaji kubembelezwa na outing ili aoshe vyombo na kufanya usafi! Hebu tuache maigizo tuwe serious jamani huo ni
ungese ss

Nakukopia nilichojibu awali, nahisi jibu ni lilelile:

Kumbuka hapa tunajadili maelezo ya upande mmoja!! Tungeweza kuupa haki upande wa pili wa mke ndiyo tungeweza kupata picha halisi. Nina uzoefu sana wa haya maswala kwa kuyafanyia kazi kwa miaka kadhaa!!

Wanawake viumbe wa ajabu sana, we ukidevelop tabia hii na yeye anadevelep tabia ingine bila kujali athari zinaenda wapi na kwa nani.

Na ukumbuke wanawake wamepishana tabia kama wakwako ukimuudhi anaendelea kukupikia na kukufulia basi jua kuna mwanamke ambaye akiudhiwa analia au anasusa kufanya kazi za home, pia kuna wanaotoka na kusimama nje wakifunga vibwebwe na kukumwagia matusi yote ya ukoo wenu bila kujali watu.

Kumtoa outing haimaanishi unambembeleza maana wanaume wengi hili neno hawalipendi! Bali unampa nafasi aongee kinachomfanya awe hivyo, humo humo ndani mara nyingi hawawezi kuongea kwa hofu ya kum-defeat ila ikiwa sehemu tofauti na ukawa mtulivu huwa wanamwaga yooote!! Amini hilo

Ishu hapa ni kuondoa tatizo bila mikwaruzo kama wengi wanavyosema eti fukuza au piga au uza tv au kuwa mkali!! Hapo bado hujasolve kitu ila utakuwa umemlazimisha kufanya utakavyo but chanzo cha tatizo bado kipo pale pale!!


Tafuta chanzo cha tatizo ili hali hiyo isijirudie, kwa wanaume wengi huwa hatupo tayari kutafuta chanzo cha tatizo na tunaishia kuapply ubabe tu!! Si vyema
 
Huyu mwanamke anaangalia TV mpaka saa 9 usiku. Anaamka saa 3 asubuhi. Anaondoka bila kuosha vyombo vilivyotumika kulia chakula jana usiku. Vinakaa hadi siku 3. Nilishapiga kelele sana lakini bado. Ushauri please.
Ulikosea kuchagua,sina kawaida ya kubembeleza mwanamke
 
Back
Top Bottom