Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,502
- 6,444
Hilo swala la zawadi muulize yeye sio mimi.
Ni wapi nilipo dhani ebu nioneshe???
Kumpiga mwanamke na kanga labda kama mnacheza lakini sio kwa lengo la kutoa kipigo.
Ndiyo maana nikasema 'yeye' na sio wewe, nikimlenga yeye jamaa anayelalamika.
Wewe si umesema '.....piga huyo atakuelewa' hiyo tayari ni dhana yako uliyoona kuwa ndiyo njia sahihi ya kutatua tatizo hili.