Arusha, KilimanjaroMkoa Gani?
Hivi kuna hi route sasaivi?Kwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote
Ina zaidi ya Mwaka
Njoo hamia huku kijijini kwetuKwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI🙌🏽😄
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote
Duh kumbe, ni vile tu nilishatoka kwenye u-wana wa israeli, lakini nilikua mdau sana nyakati hizo.Ina zaidi ya Mwaka
Na kuna mnazi to mawasiliano via kigogo road
Mnazi to mbezi
kuna hawa madereva wa kuambiwa kazi inabidi alipwe kwa trip wanaendesha magari makubwa kubeba mchanga aloo hawa jamaa hapana kwakweliHivi karibuni kumekuwa na matukio mengi ya Ajali za Barabarani, na chanzo kikubwa huwa uzembe wa dereva kwa kupuuza alama za usalama barabarani au mwendo kasi au kutochukua taadhari.
JE, WEWE UNAONA NI MADEREVA GANI WAKO RAFU SANA BARABARANI?
Upo sahihi kabisaa mkuu1. Segera kwemda Kwa Mposa .
2. Mbagala to anywhere ni hatari sana
Papaa FololoKwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote
Hao Hatupoi Ndio Papa Fololo? maana kuna hizo Papa fololo Ruti hiyohiyo wako rafu mnoooo, Hawajali traffick wala Taa wao wanafaulisha popoteKwa daladala DAR kuna hizi za kuitwa HATUPOI
Route ya MNAZI mmoja to Mwenge via KIGOGO ROAD
Hawa balaaa yanii ni kama gari za NEW FORCE na SAULI🙌🏽😄
Hawajali watumiaji wengine wa barabara ni kufukuzana tu
Horn zake sasa kama wauza koni ni kelele njia yote