Ata kama ulikua member mzuri wa CHAPUTA ukiwa UDSM, ukamaliza salama na sasa ivi uko kitaa hakuna utofauti. . . HIV iko kila sehemu
Alafu hao watoto wa mama salma wapo kila chuo
Na lengo la wao kupelekwa vyuoni ni kupata elimu kama sisi,sio kwasababu ya kusambaza DRUM
Umeshatoka Mwanza wewe mtoa uzi?
nonesense, pia kaa ukijua unyanyapaa si kitu kizuri, unaweza kufa kwa ajali,kuchinjwa n.k
Nikiwa Wazir wa Afya chuo fulan miaka ya karibun;moja ya ishu nilizokua nkizickia ni hizo so baada ya kupata huo wadhifa ilinilazim kujiridhisha mambo fulan fulan kuhusu hao watoto wa mama mpendwa Salma...Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...
EBANA SAWA :
Wakat nahangaikia degree yangu ya Kwanza pale UDSM mara kibao nilikua nasikia masela wanapo piga story za MADEM, wanasema
"Angalia Mwanangu, humu kuna watoto wa mama Salma... Utaanza kupanga foleni za ARV bila kupenda!! "
in short masela wakawa wanasema kuwa kuna mabinti wanaitwa" Watoto wa mama Salma" wamesambazwa vyuo vikuu mbali mbali TZ nzima, wana HIV na Lengo lao ni kusambaza kwa masela wafunga magoli bila gloves..
SASA MAZEE :
Hawa watoto wa mama Salma ni kina nani hasa????
Kwanini wanaitwa watoto wa mama.... Anawatoa WAPI!!
Yeye ndio anawa finance!!
Je ni kweli most of them (if not all) are HIV +!!
Je ni kweli Lengo lao kusambazwa vyuoni ni kuja kusambaza DRUM!!
Ni kweli wana exist na wapo hadi vyuo vingine au ni UDSM peke yake...
Ni kweli wana exist au hii ni story ya watu wana tunga tuu!!!!
MAZEE :
Story hii ndio ilikua chanzo cha mie kubaki kuwa MPIGA MASTER mzuri tuu toka 1st year mpaka 4th year..
Sababu masela walikua wanasema kumjua huyu demu ni wa mama Salma au sio ni vgumu...
Engineer nikasema mweeeh ngoja nijitulize zangu, dettol zipo!!!!
Sasa nisha toka chuo, nipo kitaa, lakin hii habari ckupataga ukweli wake..
Kuna anaejua chochote about this college story!!!
Karibun sana....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
HAHAHAHAHAAHHAHAHA KWANI NANI KAKWAMBIA HUKU KUNA WASHAMBA HAHAHHHAHYAAP...
Hapa najiandaa kutimba ARACHUGA nikajifunze ushamba wa wanaume na wanawake wa pande za kule....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Nafikiri wanaitwa ivo sababu mdhamini ni mama salma. . .Thanks joanah.
Kwahiyo wanapelekwa na mama Salma ndio Maana wanaitwa hivo ama hilo jina limetokea wapi....
Je ni kweli karibu wote HIV+!!!!
Asante joanah.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
WE NAWE umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE!!!
Sasa wapi umeona mtu ananyanyapaliwa??
Eti mazee, wapi nimesema namnyanyapaa mtu!!!
ACHA UBOYA.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
WE NAWE umekula MAHARAGWE YA WAPI WEWE!!!
Sasa wapi umeona mtu ananyanyapaliwa??
Eti mazee, wapi nimesema namnyanyapaa mtu!!!
ACHA UBOYA.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Piga magoti hapo ulipoPindi nipo Chuo Saut hii kitu ilivuma sana! Watu walikua wanasema Mama Salma kaleta contena!
Mimi kusema na ukweli pale chuoni nimecharaza sana dushe mademu! Wengine nilikua napigia kwenye vimbweta usiku, sasa sijui kama nilikutana na Mmoja wao ama vipi! Maana match ndo zilikua zinauzwa tu! Kuna mmoja walisema ni mgonjwa but now yupo bank,ana cheo kikubwa tu! Na hua tunapasha kipolo licha ya kwamba kaolewa na watoto 3 now
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu! Nishapiga tayari! Kuna siku wife pindi ana mimba kaenda clinic kaambiwa kesho yake twende wote! Mapigo ya moyo yalienda mbio kama yale magari ya langalanga ya formula one! Kumbe siku hizi ndo kawaida mke kwenda na mme wake clinicPiga magoti hapo ulipo
Nikuungoze sala ya toba
Kwa niaba ya joseverest
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Piga magoti hapo ulipo
Nikuungoze sala ya toba
Kwa niaba ya joseverest
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kawaida mkuuKabisa mkuu! Nishapiga tayari! Kuna siku wife pindi ana mimba kaenda clinic kaambiwa kesho yake twende wote! Mapigo ya moyo yalienda mbio kama yale magari ya langalanga ya formula one! Kumbe siku hizi ndo kawaida mke kwenda na mme wake clinic
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app