emmanuel stanslaus
Member
- Sep 24, 2013
- 8
- 0
ndg yangu hao watoto wapo cha msingi tuwen makin kwa kuwa na mpenzi 1, pia jaribu kumpima mpenz wako kila mnapokutana baada ya kuwa mbali kwa muda la sivyo ni majanga. pia ni vema kuachana na ngono zembe.
Daah sasa na sisi tunaotafuta wake huku vyuoni vp?Tuache wanavyuo tuende wapi? Ukimwi uko kila kona sio vyuoni tu mkubwa so umakini unatakiwa pande zote.Kuwa na mpenzi mwaminifu ndio dawa.
watoto wa mama salma wamezagaa kila chuo mzee. Unaweza kutana na mtoto mwenye around 20 years or below Na kweli ni bikira lakini Ana ngoma, hii inatokea cz wengi ni yatima na walizaliwa Na midudu!
duu umeongea kwahisia sana vp yamekukuta nini mkuu?nikweli jamaa siku hizi wanafikiri akiokoa kadent basi hakajatumika sana au bikra,si kweli vident vyachuo vingi japo sio wote vimeoza kabisa !chukua like yangu kwa thread yako.
Daah sasa na sisi tunaotafuta wake huku vyuoni vp?Tuache wanavyuo tuende wapi? Ukimwi uko kila kona sio vyuoni tu mkubwa so umakini unatakiwa pande zote.Kuwa na mpenzi mwaminifu ndio dawa.