jina baya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 553
- 336
Wakuu habari za wakati kama huu....
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada ambayo kwa kweli imekuwa ikinitatiza na kunipa maswali mengi sana. Siku chache zilizopita niliwahi kusikiliza the story book ya wasafi fm kuhusu vitabu visivyoeleweka ambavyo inasadikika vimeandikwa na shetani. Kwa msisitizo kabisa jamaa akasema kwamba ukivisoma tu utaishia kupata misukosuko na hautamaliza miaka miwili utakufa. Ila pia anasisitiza zaidi kwamba utapata nguvu nyingi kuliko binadamu wote...
Vitabu vyenyewe ni hivi hapa
1. The lesser key of solomon
2. The grand grimoire
3. The book of sacred magic
4. The book of soyga
5. The devils bible
Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa haya mambo. Je kuna ukweli wowote wenye ushahidi kuwa ukisoma vitabu hivi unapata nguvu ila unakufa?
View attachment 2422547View attachment 2422548View attachment 2422550View attachment 2422551
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada ambayo kwa kweli imekuwa ikinitatiza na kunipa maswali mengi sana. Siku chache zilizopita niliwahi kusikiliza the story book ya wasafi fm kuhusu vitabu visivyoeleweka ambavyo inasadikika vimeandikwa na shetani. Kwa msisitizo kabisa jamaa akasema kwamba ukivisoma tu utaishia kupata misukosuko na hautamaliza miaka miwili utakufa. Ila pia anasisitiza zaidi kwamba utapata nguvu nyingi kuliko binadamu wote...
Vitabu vyenyewe ni hivi hapa
1. The lesser key of solomon
2. The grand grimoire
3. The book of sacred magic
4. The book of soyga
5. The devils bible
Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa haya mambo. Je kuna ukweli wowote wenye ushahidi kuwa ukisoma vitabu hivi unapata nguvu ila unakufa?
View attachment 2422547View attachment 2422548View attachment 2422550View attachment 2422551