Jamii zetu zimekuwa zikiamini nadharia mbalimbali, moja ya nadharia hizo ni kama hii ya kwamba UKIMRUKA MTORO ANAKUWA MFUPI.
Je, mdau wetu una maoni gani kuhusu nadharia hii?
Shiriki nasi kwenye kufanya uhakiki wa Nadharia hii iliyopo kwenye Jamii zetu.
Tuandikie unachokiamini pamoja na sababu za kwanini unaamini hivyo.