matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,373
Wakuu hapa kuna mjadala unaendelea nimeona nishare na wanavyuoni wa JF.
Wengine wanasema lengo la tendo la ndoa ni kupata mtoto au mwanaume kuburudika, mwanamke ajiongeze humohumo wakati mwanaume anatafuta burdani.
Ushahidi unaotolewa, hakukuwa na mambo ya vileleni kwa wana wa kike enzi za mababu, pia hii ndio sababu ya wanawake wengi wako sokoni bila kujali wanafikishwa au la kikubwa apate pesa. Na hawalalamiki.
Kundi la pili ni, makosa kabisa mwanaume kufika kileleni kabla ya mwanamke. Huu ni ubakaji, wizi wa hisia na ukatili na umafia wa mahaba.
Bora uhakikishe anafika kwa njia yoyote ile hata kabla ya jamiikana.
Nini maoni yako au ya kitaaluma katika hili.
Wengine wanasema lengo la tendo la ndoa ni kupata mtoto au mwanaume kuburudika, mwanamke ajiongeze humohumo wakati mwanaume anatafuta burdani.
Ushahidi unaotolewa, hakukuwa na mambo ya vileleni kwa wana wa kike enzi za mababu, pia hii ndio sababu ya wanawake wengi wako sokoni bila kujali wanafikishwa au la kikubwa apate pesa. Na hawalalamiki.
Kundi la pili ni, makosa kabisa mwanaume kufika kileleni kabla ya mwanamke. Huu ni ubakaji, wizi wa hisia na ukatili na umafia wa mahaba.
Bora uhakikishe anafika kwa njia yoyote ile hata kabla ya jamiikana.
Nini maoni yako au ya kitaaluma katika hili.