Je ni kweli nilimtoa bikra?

hawatoshi bana...au unataka nipigwe talaka?? watoto ni zawadi so tunazifurahia....
Hapana hao wa4 wametosha vinginevyo utaharibu sana baadhi ya maeneo kwenye mwili wangu si unajua tena mamii??!!!!!
 
gfsonwin uko wapi wangu umesepa au muzee mutu munene amekubananisha??!!
 
ndiyo mie napenda watoto sana....

Mhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!! haya Bana mi yangu macho lakini najua ipo siku utakuja tu humu ndani na kuanza kulalama kwa jamaa anakutwisha mamizigo tu kila mara,lakini wa ushauri wangu atakulegeza mapema fika sehemu useme hapana.halafu naomba nikuulize sijui kama utaniruhusu,au twende PM?!
 
najua unalotaka uliza...niPM tu..lol
 

Kwi kwi kwi,madem wa mjini bwana,kakuona we ni ZUZU mpenda bikra akudanganye kiivyo ukolee,kumbe kitu used kitaaambo.
 

Unaibiwa wewe amka!
 
hayukumtoa
 

Mkuu swala la agano ulilosema apo nilifundishwa nikiwa fellowship form 5 mwaka 2004
Kwa uyu mtu mleta mada ku digest ivyo ni vigumu so ina bidi uende na levo yake
Mwenzio kapiga katelelo hajui ata bk imetoka au lah! So inabid umjengee juniour picture of the situation before going further deep
 
Asante mkuu, Mimi nilitaka kabla ya yeye kuhakiki ushindi wake ajue maana ya anachokifanya kwanza Mkuu.

Point taken Bro. thanks

 

Deep sana hii kitu
 

wewe umenielewa sana
 
huyo demu wako nadhani ana bikira ya kichina kwa hiyo kakuambia kuwa umemtoa ili uamini kweli alikuwa na bikira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…