Je ni kweli nilimtoa bikra?

Kumtoa bikra mwanamke ni lazima ionekane damu???
Msaada wenu

Mleta uzi ulipaswa kwanza Uelewe bikira ni nini ama ni nini maana ya mtu kutwa bikira??Kingine usizani kua bikira ni damu ama kitu fulani kwa mwanamke. Ili somo inaonekana limekupiga chenga mdogo wangu.
 
Mleta uzi ulipaswa kwanza Uelewe bikira ni nini ama ni nini maana ya mtu kutwa bikira??Kingine usizani kua bikira ni damu ama kitu fulani kwa mwanamke. Ili somo inaonekana limekupiga chenga mdogo wangu.

Inabidi lecture uzishushe hapa ili watu wapate kuelewa na kuondokana na dhana potofu
Uwanja ni wako
 
Inabidi lecture uzishushe hapa ili watu wapate kuelewa na kuondokana na dhana potofu
Uwanja ni wako

Bikira ni state/hali ya mwanamke kutokuwahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote since birth. So mwanamke yoyote ambaye hajawahi kuingizwa uume na mwanaume anaitwa bikira, Sasa Unapozungumzia damu kama kielelezo cha mtu kuwa bikira unakua unakosea. Iko hivi katika maumbile ya uke ya mwanawake kuna kitu kinaitwa Hymen hiki kitu ni thin membrane tht sorrounds the opening to the vigina, kitu hiki ni very soft na upo wakati chaweza kutoka tu kutokana na shughuli ngumu zozote kama vile kuendesha baiskeli nk. hii membrane ikiwa broken utoka kama damu hivi, sasa wengi uita hii kitu ndio bikira wakati maana halisi ya bikira ni hali ya mwanamke kutokuwahi kuingiliwa na mwanaume, ivyo basi wapo wanawake wanaozaliwa bila kua na hii hymen kabisa hawa nao bado huwa ni mabikira iwapo hawajawahi kushiriki tendo la ndoa na mwanaume, wapo pia walioipoteza membrane hii katika shughuli tofauti tofauti ngumu still nao kama hawajaguswa na mwanaume wataitwa mabikira, sasa usitegemee kukuta damu kwa watu wa namna iyo, na wapo pia wanawake wanaozaliwa wakiwa na hii hymen ikiwa imeziba kabisa kiasi kwamba uitajika kufanyia upasuaji ili kuwawezesha kupata MP kama unavyoelewa MP ni lazima sasa ikitokea mtu kazaliwa na hymen iliyoziba kabisa basi minor surgery ufanyika ili kuacha njia ya kuruhusu damu ya MP kupata upenyo wa kutoka kila mwezi. Swala lingine hii hymen utofautiana ugumu na ukubwa wa kuuzunguka uke kati mwanamke na mwanamke Note: Kuna baadhi ya tafiti pia zinadai wapo wanawake wenye hymen ngumu kiasi,kisha wakalala na wanaume na still hii Hymen ikaendelea kuwepo endapo tu kulikua na good lubrication na male partner aliweza kuistretch hymen bila kuivunja (ingawa ni nadra kutokea hii), sasa hawa pamoja na kuwepo kwa hii hymen huwezi kuwaita bikira tena maana wameshafanya mapenzi,na ubikira ni hali ya kutokuwahi kufanya mapenzi na mwanaume na si uwepo wa hii hymen
 

Nilipokua first year chuoni, jamaa yangu alibahatika ku date dem high class very intelligent mchangamfu sana sasa hivi ana anacheo cha juu kwakweli. Siku ya kwanza ku do. Dem alimwambia jamaa yangu kuwa hajawahi s..x tangu azaliwe kwahiyo yeye ni bikra. Jamaa akapiga haukuona damu si aka accuse mbona hakuna damu.... dada aka
wa very disappointed. ..jumuia ya wabongo wakapata habari jinsi dada alivyohuzunika jamaa kudeny she was virgin. Ilichukua miezi sita kurudiana.
 
Hebu mlete nimchunguze kama imetoka au lah. Ukimleta wewe utakaa nje alafu mimi na yeye tutaingia ndani, baada ya dakika 40 atatoka nje na cheti kilichoandikwa "IMETOKA" au "IPO".
 
Mlete kwangu nimchunguze kama imetoka au lah! Ukimleta wewe utakaa nje ukimsubiri, mimi na yeye tutaingia ndani, baada ya dakika 40 atatoka na cheti kilichoandika neno mojawapo kati ya haya; 'IMETOKA' au 'IPO'.
 
Kwan mna mpango gan na hiyo bikra mpk mnaogopa kuitoa? au ndio mnasubir ndoa? usikute umebeba student wew
 
Sasa kama mlifanya mkiwa wawili faragha,na wewe hujui kama uliitoa sisi tutajuaje na hatukuwepo?
 
huyo demu muongo anatakA akuambiE kuwa ww ndo uliyemtoa bk kumbe wajanja kitaaambO wameshafunuA
 
haijatoka bikira ni oil seal tu zitakuwa zimelegea ..we bikira itoke huyo unadhani ataweza hata kushika blackberry kutuma meseji!!!

Mmmh kwa nn usishike Sim kutuma Message???...Uwhy?
 
Wewe Zuzu kweli! Yaani bikra ivunjikie kwako damu ikatokee nyumbani kwake. Umeliwa
 
Mkuu ni kweli ulisababisha bikra yake kutolewa na kijana lijali, wewe ulimtia kiu tu, alipo toka kwako akakimbilia Kwenda kukata kiu kwa huyo jamaa ..
 

Ha! Ina maana ilishatolewa?
 
kakuzuga huyo.ili aonekane wewe ndio uliomtoa,wakati kuna mwengine kabla ya hapo alietoa.kwa nini mtu usiwe mkweli.kama mtu anakupenda bikira sio big deal
Alaa kumbe ivo?
Habari za KUFIKIRIKA,hakuna cha kukumbuka wala kutumbuka au vipi?
 
gfsonwin vipi huko nyuma mko wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…