Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,730
- 218,297
Kuna taarifa kwamba huyu kijana alianza kubadilika baada ya kuoa " mtoto wa Spika " na chama chake kilishamstukia tangu mapema , akatengwa kiaina .
Je kuna ukweli wa Jambo hili ? mwenye kufahamu aliweke vizuri .
Nakala : Twaha Mwaipaya