Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
HahahaKwahiyo hizo sh bilioni 8 zilitumika kwenye sherehe za harusi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaKwahiyo hizo sh bilioni 8 zilitumika kwenye sherehe za harusi?!
Especially ukiwa na baba mkwe Kama ndugaiSiyo tatizo lakini ni rahisi pia kuleak siri za chama
MONEY STOP NONSENSE
Ila mbowe Ni noma Ni zaidi ya mchwa anavyotafuna helaKwahiyo hizo sh bilioni 8 zilitumika kwenye sherehe za harusi?!
Lijuakali kasemaCAG na wewe nani anajua zaidi ?
Sasa Chadema hapo ina makosa yapi mkuu ? dogo alipewa onyo akapewa chance ajielezeSiasa haihitaji hasira hata kidogo, shida ya chadema ni kuendesha chuki kwa wapinzani wenu
Kila mtu mtamwona msaliti asee.
Jibu halijitosheleziCAG na wewe nani anajua zaidi ?
Kwa sababu siasa ndio maisha yenyewe ...mnaingizia masiasa kila sehemu tu.
Especially ukiwa na baba mkwe Kama ndugai
Ungejiuliza mbona mke wa Kafulila hajafukuzwa wala kutengwa?Chadema na nyie ni wa hovyo sana.yani mtu akioa mtoto wa mwana CCM tayari mnamtenga?
Hii nchi bado sana asee.
Sent using Jamii Forums mobile app
8 billions walikuwa wanakatwa wabunge wa chadema havihusiani na CAGCAG na wewe nani anajua zaidi ?
mchwa ukasome aiseeIla mbowe Ni noma Ni zaidi ya mchwa anavyotafuna hela
Sent from jamii forums
Mapato yote ya chama kutoka vyanzo vilivyoainishwa kwenye katiba hukaguliwa na CAG8 billions walikuwa wanakatwa wabunge wa chadema havihusiani na CAG
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu chadema imempigania kweli baada ya kuhukumiwa na kwenda jela, Leo anawaona wajinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukuulize wewe mtu wa kitengo cha propaganda chademaView attachment 1453682
Kuna taarifa kwamba huyu kijana alianza kubadilika baada ya kuoa " mtoto wa Spika " na chama chake kilishamstukia tangu mapema , akatengwa kiaina .
Je kuna ukweli wa Jambo hili ? mwenye kufahamu aliweke vizuri .
Nakala : Twaha Mwaipaya
Fedha hizo ni za uchaguzi!!!... ndio maana unachanga baada ya kupata ubunge ambao ulidhaminiwa na chamaKumbe katiba ya chadema inaruhusu kuwaambia wabunge changeni hela tukaweke kwenye fixed akaunti alafu baada ya miaka 5 wakiuliza hela za kwenye fixed akaunti ziko wapi, unawajibu hakuna pesa yoyote na mambo yanaishia hapo?
Kweli hiki chama ni bora kabisa duniani na wanachama wake wana akili nyingi za kuchanganua mambo kuliko bindamu yoyote kwenye solar system.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo anapata boda boda 100 , wabunge wanapewa pesa nyingi Sana kuliko wataalamu hii si sawa tena awamu wabunge wamekula bure pesa yetu hakuna tija yeyeto waliyoleta wameshindwa kulisimamia bunge na hela wanavuta hii si sawa kabisa.Lijualikali kashajiaribia kisiasa asubiri 250m zake za kiinua mgongo akaendeshe bodaboda huko kilombero.
Ni CCM ya wakati ule sio ya sasa. Hii ya sasa Mwenyekiti anampiga biti mzee kama Bulembo hadharani eti "mkanye mwanao (mbunge pia) asi” “ na wabunge wa upinzani"Mtu wa Chadema akioa CCM anatengwa?
Hizi ndo siasa? ..
Dunia nzima watu wameoa kutoka upande wa pili wa wa siasa..
Mbona Riziwan alioa mtoto wa mbunge wa CUF?
Na kulikuwa hakuna shida CUF wala CCM?