hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
nimeulizaMtoa mada ungetakiwa uweke nyama kidogo kwenye andiko lako! Otherwise utaonekana mpashukuna
TUNAJUA KUWA UMEULIZA LAKINI KWANINI IWE SASA?nimeuliza
Baada ya kuoa ndio sarakasi zikaanzaTUNAJUA KUWA UMEULIZA LAKINI KWANINI IWE SASA?
SWALI LAKO LINA UHUSIANO GANI NA MTIRIRIKO WA MATUKO YA KIPINDI?
BILA SHAKA NJE YA SWALI LAKO UNA HOJA NZITO KULINGANA NA NYAKATI NA MATUKIO
KWA HIYO BAADA YA KUOA HAKUTAKIWA KUHOJI NA KUTOA MAONI YAKE KWENYE CHAMA WAKATI KATIBA YA CHAMA INAMRUHUSU?Baada ya kuoa ndio sarakasi zikaanza
Jessica Kishoa ameolewa na mwanaccm mbona hajalia bungeni ? au mbona hajaleta hizo sarakasi ?KWA HIYO BAADA YA KUOA HAKUTAKIWA KUHOJI NA KUTOA MAONI YAKE KWENYE CHAMA WAKATI KATIBA YA CHAMA INAMRUHUSU?
AU KUOA MTU WA CHAMA PINZANI AUTOMATICALLY KUNAKUPORA HAKI HIYO YA KIKATIBA?
HUYO HAJATOFAUTIANA NA CHAMA KIMTAZAMO PENGINE NA YEYE NDOA YAKE NA MWANA CCM INGEJADILIWA KATIKA MLENGO MWINGINEJessica Kishoa ameolewa na mwanaccm mbona hajalia bungeni ? au mbona hajaleta hizo sarakasi ?
Mtu wa Chadema akioa CCM anatengwa?
Hizi ndo siasa? ..
Dunia nzima watu wameoa kutoka upande wa pili wa wa siasa..
Mbona Riziwan alioa mtoto wa mbunge wa CUF?
Na kulikuwa hakuna shida CUF wala CCM?
HUYO HAJATOFAUTIANA NA CHAMA KIMTAZAMO PENGINE NA YEYE NDOA YAKE NA MWANA CCM INGEJADILIWA KATIKA MLENGO MWINGINE
Siyo tatizo lakini ni rahisi pia kuleak siri za chama
MONEY STOP NONSENSE
Si ndio alivyosema au hajamsikia kwamba atalima hata mchicha au kuendesha boda boda.Ukiwa na hicho kiasi Cha pesa unaendesha boda boda?
Alimkanya wp? Una akili kweli ww??Ni CCM ya wakati ule sio ya sasa. Hii ya sasa Mwenyekiti anampiga biti mzee kama Bulembo hadharani eti "mkanye mwanao (mbunge pia) asi” “ na wabunge wa upinzani"
Kwa hiyo mahusiano ya Lijualikali lazima yatakuwa yanaleta sintofahamu na siri za chama hatihati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataman nihifadhi hii comment, utaumbukaWana kilombero wanavyoipenda cdm hawawez mchagua ...!
Kweli awamu iliopita mbowe na zito walikua marafikiUtengano na uadui kati ya hivi vyama viwili umeletwa na serikali hii. Zamani wabunge walikuwa wamoja kabisa. Watachambuana bungeni na kwenye majukwaa lakini hawakuchukiana. Awamu hii ndiyi imeleta chuki na uadui baina ya wapinzani na ccm. Namshukuru Mungu hizo chuki na kubaguana hazijafika/hazipo uraiani.
Sent using Jamii Forums mobile app
wakiamua kumfukuza uanachama hapati. Ndugai atampa , wanagahakati watakwenda kupinga kupewa fedha za umma bila stahili!Lijualikali kashajiharibia kisiasa asubiri 250m zake za kiinua mgongo akaendeshe bodaboda huko kilombero.
Waliobaki chadema wote wameona upepo wao mzuri ndomana... Hongera kwaoHuo ukosefu wa demokrasia ndani ya CDM hakuuona kipindi chooote Cha miaka minne ndo kauona Sasa wakati bunge
limebakiza week kuisha?
Huyu ni opportunist ameshaona upepo wa kisiasa kwake ni mbaya asitafute visingizio aende tu ni haki yake kikatiba
Sasa umeona CUF ilipofikia?Mtu wa Chadema akioa CCM anatengwa?
Hizi ndo siasa? ..
Dunia nzima watu wameoa kutoka upande wa pili wa wa siasa..
Mbona Riziwan alioa mtoto wa mbunge wa CUF?
Na kulikuwa hakuna shida CUF wala CCM?
Ndugai kashaamua kuvunja katiba kashasema atawalinda hadi mwisho hakuna mtu wa kuwababaisha......Chadema washawafukuza uanachama na barua spika kashapewa ila hataki kuchukua hatua.wakiamua kumfukuza uanachama hapati. Ndugai atampa , wanagahakati watakwenda kupinga kupewa fedha za umma bila stahili!