Akili ya kuambiwa na Ndugai changanya na yako. Hustuki, Ndugai kila akiwashwa lazima amtaje Mbowe. Kuna nini hapo? Lazima kuna kitu anakijua.Kumbe katiba ya chadema inaruhusu kuwaambia wabunge changeni hela tukaweke kwenye fixed akaunti alafu baada ya miaka 5 wakiuliza hela za kwenye fixed akaunti ziko wapi, unawajibu hakuna pesa yoyote na mambo yanaishia hapo?
Kweli hiki chama ni bora kabisa duniani na wanachama wake wana akili nyingi za kuchanganua mambo kuliko bindamu yoyote kwenye solar system.
Sent using Jamii Forums mobile app