Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
no wonder america is going downMimi ni Mmarekani....
Hivi majuzi nilipokuwa Kenya, nilisoma gazetini (Taifa Leo) kwamba Hasheem Thabeet ambaye karibuni atajiunga na NBA, kwamba ana asili ya UKENYA.Ndugu zake ni watu wa Malindi heti
Wakenya siyo mara yao ya Kwanza kuzusha mambo kama hayo, na watanzania wengi tumekuwa tukiamini maswala kama haya. Mimi swali langu ni je, Hakuna mtanzania mwenze akili ambaye hawezi kuhusishwa na nchi Jirani?
Je ni kwa nini watanzania hatuwezi kusimama na kujitetea????
Bila Kusahau kwamba mlima Kilimanjaro na Serengeti vipo kenya.Je kila kizuri cha kitanzania kwa nini kihusishwe na UKENYA?
Mimi ni Mmarekani....
Kama hivyo hakuna mtanzania halisia basi....labda mgogo .....la sivyo balaa...kilakabila lina asili yake na wengi walihama hama....
Mbona title umeipindisha kidogo? Wamedai ni Mkenya au ana asili ya Kenya?
Ukirudi nyuma vya kutosha wote tunatokea sehemu moja.
Hivi majuzi nilipokuwa Kenya, nilisoma gazetini (Taifa Leo) kwamba Hasheem Thabeet ambaye karibuni atajiunga na NBA, kwamba ana asili ya UKENYA.Ndugu zake ni watu wa Malindi heti
Wakenya siyo mara yao ya Kwanza kuzusha mambo kama hayo, na watanzania wengi tumekuwa tukiamini maswala kama haya. Mimi swali langu ni je, Hakuna mtanzania mwenze akili ambaye hawezi kuhusishwa na nchi Jirani?
-Zitto Kabwe wengi wamenzushia kwamba ni Mganda,
-Joni Mashaka Naye Kaitwa Mkenya ilhali ni Mkurya.
-January Makamba Mtu wa Tanga kazushiwa Utaita;
-Mwakijiji Kazushiwa Umalawi
Je ni kwa nini watanzania hatuwezi kusimama na kujitetea????
Bila Kusahau kwamba mlima Kilimanjaro na Serengeti vipo kenya.Je kila kizuri cha kitanzania kwa nini kihusishwe na UKENYA?
Hivi majuzi nilipokuwa Kenya, nilisoma gazetini (Taifa Leo) kwamba Hasheem Thabeet ambaye karibuni atajiunga na NBA, kwamba ana asili ya UKENYA.Ndugu zake ni watu wa Malindi heti
Wakenya siyo mara yao ya Kwanza kuzusha mambo kama hayo, na watanzania wengi tumekuwa tukiamini maswala kama haya. Mimi swali langu ni je, Hakuna mtanzania mwenze akili ambaye hawezi kuhusishwa na nchi Jirani?
-Zitto Kabwe wengi wamenzushia kwamba ni Mganda,
-Joni Mashaka Naye Kaitwa Mkenya ilhali ni Mkurya.
-January Makamba Mtu wa Tanga kazushiwa Utaita;
-Mwakijiji Kazushiwa Umalawi
Je ni kwa nini watanzania hatuwezi kusimama na kujitetea????
Bila Kusahau kwamba mlima Kilimanjaro na Serengeti vipo kenya.Je kila kizuri cha kitanzania kwa nini kihusishwe na UKENYA?
Siku zote ukweli hubakia kuwa ukweli haijalishi umepindishwa namna gani.Hivi majuzi nilipokuwa Kenya, nilisoma gazetini (Taifa Leo) kwamba Hasheem Thabeet ambaye karibuni atajiunga na NBA, kwamba ana asili ya UKENYA.Ndugu zake ni watu wa Malindi heti
Wakenya siyo mara yao ya Kwanza kuzusha mambo kama hayo, na watanzania wengi tumekuwa tukiamini maswala kama haya. Mimi swali langu ni je, Hakuna mtanzania mwenze akili ambaye hawezi kuhusishwa na nchi Jirani?
-Zitto Kabwe wengi wamenzushia kwamba ni Mganda,
-Joni Mashaka Naye Kaitwa Mkenya ilhali ni Mkurya.
-January Makamba Mtu wa Tanga kazushiwa Utaita;
-Mwakijiji Kazushiwa Umalawi
Je ni kwa nini watanzania hatuwezi kusimama na kujitetea????
Bila Kusahau kwamba mlima Kilimanjaro na Serengeti vipo kenya.Je kila kizuri cha kitanzania kwa nini kihusishwe na UKENYA?
yeye mwenyewe ndo mwenye duty ya kujitetea tusikie kutoka kwake, siajabu na yeye akaukataa utz hivihivi ili aonekana yuko juuu, ndivyo wabongo wengi walivyo.
yeye mwenyewe ndo mwenye duty ya kujitetea tusikie kutoka kwake, siajabu na yeye akaukataa utz hivihivi ili aonekana yuko juuu, ndivyo wabongo wengi walivyo.