johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Bado haieleweki vema kwamba Freeman Mbowe ameachiliwa katika misingi gani haswa, ukiachilia mbali sheria iliyompa mamlaka DPP kuamua kutoendelea na kesi.
Kwa mfano, Dr Akandunduma anadai kuwa maadamu DPP aliondoa kesi mahakamani wakati ameshamaliza kuhoji mashahidi wake maana yake ni kuwa alishabaini hawezi kushinda.
Lakini wengine wanadai anayefuta kesi ni Jaji/ Hakimu siyo DPP hivyo kitendo cha Jaji kumkubalia DPP ni ishara kuwa Mbowe hakuwa na kesi ya kujibu toka mwanzo.
Swali: Je, Freeman Mbowe ndiye mshindi kwenye ile kesi ya Ugaidi?
Kwaresma njema!
Kwa mfano, Dr Akandunduma anadai kuwa maadamu DPP aliondoa kesi mahakamani wakati ameshamaliza kuhoji mashahidi wake maana yake ni kuwa alishabaini hawezi kushinda.
Lakini wengine wanadai anayefuta kesi ni Jaji/ Hakimu siyo DPP hivyo kitendo cha Jaji kumkubalia DPP ni ishara kuwa Mbowe hakuwa na kesi ya kujibu toka mwanzo.
Swali: Je, Freeman Mbowe ndiye mshindi kwenye ile kesi ya Ugaidi?
Kwaresma njema!