The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,081
- 117,688
siyo kisheria mkuu labda kisayansi
Aisee! Duh! Nimecheka sanaaaa! Tena kwa Sauti ya juu kabisa kwa hilo jibu 😆😁
siyo kisheria mkuu labda kisayansi
= ukweli
= ukweli
= ukweli
Hoja zako hazina mashiko swala linabaki unefungwa na majini na upeo wako umeishia hapo.
Sasa unapoleta post bila watu kuchangia na kuuliza hyo post inamaana gan
Sasa miaka 10 yte hyo umepoteza muda wako tu bulee hakuna ulichokiambua cha maana
Mizimu kama mizimu ni majini yanayojua history ya ukoo vizuri, na ndio yenye maagano yote ya ukoo husika.
Kinachofanyika hapo kwenye kutokewa na sura ya babu, bibi nk, ni kitendo cha hayo majini kujivika sura ya mhusika wanayemtaka.
Haya mambo sitaki kuyaongelea japo nayajua sana kuliko kawaida.
Ni kweri kabisa unalosemaMizimu kama mizimu ni majini yanayojua history ya ukoo vizuri, na ndio yenye maagano yote ya ukoo husika.
Kinachofanyika hapo kwenye kutokewa na sura ya babu, bibi nk, ni kitendo cha hayo majini kujivika sura ya mhusika wanayemtaka.
Haya mambo sitaki kuyaongelea japo nayajua sana kuliko kawaida.
Kwa faida ya kujali bila kujali yaliyosemwa kabla changia unachofahamu ila kwa hekima na busara kwakuwa si kila mmoja atakubaliana nawe
Ni kweri kabisa unalosema
Nimegundua huyu anabisha ili apate maujanja sasa baki na uo ujinga wako wa miaka 10 kumbuka elimu ina kuzidiana
Naona wewe maswari yngu hautaweza kunijibu hta kidogo nina lundo la maswari nkianza kuuliza hapa hutanijibu nkakuelewa
Ila hayo yte uloeleza nyuma yake kuna JINI na katika jini kuna matabaka ama ukoo sasa hayo matabaka au ukoo ndo yanatuchezea akili sisi binadamu inawezekana ikawa hta wewe na mimi tunachezewa akili ndo maana tunashindwa kuelewana
Sasa cha kufanya fanya utafiti kuhusu kiumbe aitwaye JINI araf cku niambie umegundua nini kuhusu yeye
Jibu lako angekupa kitabakilo bahati mbaya leo cjamuonaMnaonaje kama wote mnaojitapa kuyajua haya mambo mkatuwekea japo reference za kuthibitisha mnayoongea,kwa mfano vitabu ama kitu ambacho kilishawahi kuandikwa popote pale.!
Wengi tunatamani kuyajua haya ya ulimwengu usioonekana na kama yapo ya kutufaidisha kihalali bila kidhulumu nafsi ya mtu basi tuyajue. Mfano kujua kama kuna mtu anataka kukudhuru ama ukifanya hili utapata hasara nk
Wala sibishi yashanifika miaka mingi tu iliyopita na ndo chazo cha kunifanya nichunguze ukweri wake 7bu kuna kitu kimoja kidogo walishindwa ndo kikanipa mwanga na kunitoa gizani so naongea yte 7bu nishazulu ulimwengu ambao binadamu wa kawaida hawezi fika nishameet na viumbe ambao binadamu wa kawaida huwezi meet nao nishawaona viumbe ambao binadamu wa kawaida huwezi kuwaona na nishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiumbe ambcho binadamu wa kawaida uwezi share nae bed
Yaan yapo mengi mengi tu
Mwisho ni kuwa mm au sisi binadamu ADUI yetu mkubwa ni huyo kiumbe wala siyo binadamu mwenzako sema ndo hvyo tuu
Ni kweri kabisa unalosema
Nimegundua huyu anabisha ili apate maujanja sasa baki na uo ujinga wako wa miaka 10 kumbuka elimu ina kuzidiana
Sasa kejeli za nini kwenye thread za watu!...kama we kuna unalofahamu kuhusu varieties za mizimu, majini n.k. Shusha nondo hapa sio kusifia sifia wanaume wenzako!
Lakini umemuelewa sio?
Nisinge muelewa nisinge msahihisha.
Umenielewa?
Ni kweri kabisa unalosema
Nimegundua huyu anabisha ili apate maujanja sasa baki na uo ujinga wako wa miaka 10 kumbuka elimu ina kuzidiana
Unawashwa makario katafute mkunwaji ukimkosa kajisugue kwenye ukuta wa chuping
nani katoa kejeli km si wewe
Ukiongea kitu kizuri kikaeleweka unasifiwa na utapata like nyingi lkn ukiongea hovyo hovyo usichokielewa lazima uambiwe hta km wewe ndo mwazilishi wa thread
So tumia lugha nzuri ukitaka kufikisha kitu sio unakulupuka tu km umebanwa na haja kubwa
Unawashwa makario katafute mkunwaji ukimkosa kajisugue kwenye ukuta wa chuping
nani katoa kejeli km si wewe
Ukiongea kitu kizuri kikaeleweka unasifiwa na utapata like nyingi lkn ukiongea hovyo hovyo usichokielewa lazima uambiwe hta km wewe ndo mwazilishi wa thread
So tumia lugha nzuri ukitaka kufikisha kitu sio unakulupuka tu km umebanwa na haja kubwa
Duu mbona umepaniki kupita maelezo?
Labda alidhani huku ni badoo au insta