Je, ni kweli kuwa vichaa wana jicho la tatu?

Je, ni kweli kuwa vichaa wana jicho la tatu?

Nikisema kwa sehemu kubwa namaanisha kuwa si wote mizimu ni roho za wafu bila kujali umekufa lini

Vipi kwenye ganja,kuna mshikaji wangu flani alipiga ikapanda kichwani akaanza kumsema mshikaji wetu mwingine anataka amuue(yaani uyo mshikaji amuue aliyevuta ganja) .Hapo unazungumziaje?
 
Ume quote kipengele kidogo sana, nimetolea mfano wa mtu aliyekuwa anauwezo wa kuona visivyoonwa kwa macho ya kawaida.

Ok ila mm nilikuwa sijui hii kitu ndo inaitwa thirdeye nimekuja kijua hapa jf kuwa ile ndo third eye ila ina namna ya kufunguka coz ina njia nyingi za kufanya ili upate kuona huo ulimwengu mwingne

Mimi tokana na utafiti wangu wengi uniona mie chizi au naongea nisicho kijua ila naelewa zaidi ya wanavyofikilia kuwa najua binadamu
ila tatzo moja tu huwezi kujua zaidi ya wanavyojua wao hao viumbe na hawatakuluhusu kujua kila kitu kuhusu wao ila wao wanajua yte kuhusu sisi hasa udhaifu wetu ndo mana wengi wanaoshilikiana na hao viumbe wanatofautiana maalifa au nguvu mfno waganga

ila utakuwa unajiuliza maswali au unawauliza hao watu wanaoshilikiana nao na hakuna wa kukupa jibu la kukulidhisha sana sana utachota jibu la huyu na huyu unaunga na lako unapata jibu amblo wewe binafsi unaona sahihi ila wengne hawawezi kukuelewa 7bu wameaminishwa hvyo walivyoamini
na na ukiwafatilia sana hao viumbe watakufanya uonekane chizi au umsahau mungu wako mana kila kundi la watu wamewashikisha kitu na wakawaaminsha hvyo.
 
Maruhani ni roho ambazo kwa sehemu kubwa zinaishi nchi kavu, majini kwa sehemu kubwa wanaishi baharini na mizimu ni roho za wafu

Kaka mshana hivi hizi habari za majini na maruhani na mauzauza yote . Ni huku kwetu africa na asia au hata hata ulaya na marekani yapo. Maana kama majini kukaa baharini huko marekani pacific ocean wamarekani wanavua samaki mwaka mzima usiku na mchana tena deep sea na sijawahi sikia eti mauza uza. Majini wala maruhani. Hebu nitoe ujinga hapa. Please
 
Hayo mambo yapo, km hutaki subiri yakufike ndiyo utayajua. Msibishe wala nn, nimeyaona na kuyashuhudia. mshana jr

Wala sibishi yashanifika miaka mingi tu iliyopita na ndo chazo cha kunifanya nichunguze ukweri wake 7bu kuna kitu kimoja kidogo walishindwa ndo kikanipa mwanga na kunitoa gizani so naongea yte 7bu nishazulu ulimwengu ambao binadamu wa kawaida hawezi fika nishameet na viumbe ambao binadamu wa kawaida huwezi meet nao nishawaona viumbe ambao binadamu wa kawaida huwezi kuwaona na nishakuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiumbe ambcho binadamu wa kawaida uwezi share nae bed
Yaan yapo mengi mengi tu
Mwisho ni kuwa mm au sisi binadamu ADUI yetu mkubwa ni huyo kiumbe wala siyo binadamu mwenzako sema ndo hvyo tuu
 
Last edited by a moderator:
mkuu mshana jr hapo umesem vema na k
un mengi sana hapo, ukiona vitu forbden n ukiw n moyo mdogo kudata ni lazima
 
Last edited by a moderator:
Kaka mshana hivi hizi habari za majini na maruhani na mauzauza yote . Ni huku kwetu africa na asia au hata hata ulaya na marekani yapo. Maana kama majini kukaa baharini huko marekani pacific ocean wamarekani wanavua samaki mwaka mzima usiku na mchana tena deep sea na sijawahi sikia eti mauza uza. Majini wala maruhani. Hebu nitoe ujinga hapa. Please

Tena huko ndio wamejaa.
 
Nimechoka kusikia, kusimuliwa kwamba kuna viumbe wanaonekana kwa jicho la tatu.

Mwenye dawa ya kutumia ili kuwaona hao viumbe ani PM nimeshakua mtu mzima nataka nione mwenyewe.
 
Naona wewe maswari yngu hautaweza kunijibu hta kidogo nina lundo la maswari nkianza kuuliza hapa hutanijibu nkakuelewa

Ila hayo yte uloeleza nyuma yake kuna JINI na katika jini kuna matabaka ama ukoo sasa hayo matabaka au ukoo ndo yanatuchezea akili sisi binadamu inawezekana ikawa hta wewe na mimi tunachezewa akili ndo maana tunashindwa kuelewana
Sasa cha kufanya fanya utafiti kuhusu kiumbe aitwaye JINI araf cku niambie umegundua nini kuhusu yeye

Unajua tatizo unataka nikujibu kama niko darasani ninachofahamu kuhusu majini kinatosha kama unaona kuna ombwe heri ukaongezea kuliko kunichagiza na maswali
 
kila mtu ana mzimu wake haijarishi amekufa au yupo hai je inawezekana kuona mzimu wako mwenyewe? (mtu aliye hai)

Hapana ni mpaka ufe kama una mzimu wako basi ujue ni wa urithi
 
Nimechoka kusikia, kusimuliwa kwamba kuna viumbe wanaonekana kwa jicho la tatu.

Mwenye dawa ya kutumia ili kuwaona hao viumbe ani PM nimeshakua mtu mzima nataka nione mwenyewe.

G'son sio rahisi kihivyo
 
Kaka mshana hivi hizi habari za majini na maruhani na mauzauza yote . Ni huku kwetu africa na asia au hata hata ulaya na marekani yapo. Maana kama majini kukaa baharini huko marekani pacific ocean wamarekani wanavua samaki mwaka mzima usiku na mchana tena deep sea na sijawahi sikia eti mauza uza. Majini wala maruhani. Hebu nitoe ujinga hapa. Please
kupe napingana nawe kama kuna watu washirikina basi hao jamaa wanaongoza na ndio maana hata movie nyingi za haya mambo wanatengeneza wao..jamaa hawafanyi kitu bila kuwasiliana na wataalam hebu tafuta movie ya The Blair witch project
 
Last edited by a moderator:
Vipi kwenye ganja,kuna mshikaji wangu flani alipiga ikapanda kichwani akaanza kumsema mshikaji wetu mwingine anataka amuue(yaani uyo mshikaji amuue aliyevuta ganja) .Hapo unazungumziaje?

Bangi huwa inazingua wengi, watu huwa tunawaza mengi lakini tunayoongea ni kidogo, sasa bangi hufumua ufahamu wa mtu na kumfanya ageuze kuwa uhalisia kile anachokiwaza
 
Kwahiyo niendelee kusikua story tu, na kama nitaendelea kusikia story tu, umaana wa kuwa mtu mzima utakuwapi?
 
Kwahiyo niendelee kusikua story tu, na kama nitaendelea kusikia story tu, umaana wa kuwa mtu mzima utakuwapi?

Wala haihitaji kuwa mtu mzima unakumbuka yule dogo aliyekamatwa na kichwa cha binadamu muhimbili?
 
Namkumbuka vizuri sana, OK kama cyo kazi rahisi ngoja Ya ngoswe tumwachie ngoswe.
 
Back
Top Bottom