Usiwe mwoga kiasi hicho andika neno zima usiache dots
Hapana sijazoea kutukana hata hivyo naogopa husije ukanirushia majini nikapata jicho la 3 na la 4 .kuna mtu kanitonya kuwa wewe ni hatari sana ......si rudii boss kukukejeri tena.
Umepatia kweli kuniita hivyo kwa kuwa ni bonge la mpuuzi mimi nnakupuuza hayo maneno yako ya kishoga shoga.
Ntaendelea kukupa darsa la nyama ikoje kila unapoleta utumbo - kumbuka hilo.
Duh......sasa na wale vichaa wanaowapiga watu weupe......huwa wanaona nini.......?.......
Siyo kweri majini wanakufa hta wewe roho yako haifi ila inaweza kubaki duniani ikitangatanga kutokana na matukio uliyofanya duniani sawa na majini pia sasa hadi roho iitwe chafu wewe kiumbe unakuwa na hadhi ya kuitwa sheytwani na ukumbuke sheytwani siyo jini tu hta wewe binadamu una weza kuwa sheytwaniMajini ni roho na roho ikishazaliwa haifi
Ok hivi hao majini nasikia walikuwepo tangia kalne na kalne je hawafi??wanazaliana??
kisheria kila mtu ni kichaa ila tunatofautiana viwango na wakati
Maruhani ni roho ambazo kwa sehemu kubwa zinaishi nchi kavu, majini kwa sehemu kubwa wanaishi baharini na mizimu ni roho za wafu
Jitu ongo kama wewe sijapata kuona.
Hao wote ni kitu kimoja ni tofauti ya majina tu, wacha kudanganya watu.
Ruhan na Jinni ni kutokana na lugha ya Kiarabu na hizo ni sifa tofaui za hao hao majinni.
Mizimu ni jina lisilotokana na Kiarabu lakini ni hao hao Majinni tu.
Usidanganye watu, kitu kama haujui sema "sijui" kuliko kudanganya.
Ok hivi hao majini nasikia walikuwepo tangia kalne na kalne je hawafi??wanazaliana??
Jitu ongo kama wewe sijapata kuona.
Hao wote ni kitu kimoja ni tofauti ya majina tu, wacha kudanganya watu.
Ruhan na Jinni ni kutokana na lugha ya Kiarabu na hizo ni sifa tofaui za hao hao majinni.
Mizimu ni jina lisilotokana na Kiarabu lakini ni hao hao Majinni tu.
Usidanganye watu, kitu kama haujui sema "sijui" kuliko kudanganya.
Wayiii......