mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Majina tu kama vile wewe unajiita mdetichia, mimi FaizaFoxy, mwengine.
Wapo wengine wanaojiita John, Joseph, Anna.
Hakuna binaadam asiye na ruhani wake, kuna wanao amrisha mema na kuna wanao amrisha mabaya. Kama binaadam tu, wapo wema na wapo wabaya.
Na kuna maruhani ya kukukumba (possess), haya ni yale ambayo yanavuka mipaka yao na kuingia ndani ya mipaka ya binaadam na hao ndio huona pia wajanja wachache wakiwatumia na kudanganya watu.
Lakini hao majinni wote hawana uwezo zaidi ya binaadam kwani daraja la binaadam kuumbwa ni kubwa kuliko viumbe vyote wengine tuwajuao.
Kuhusu dini ya Mwenyeezi Mungu duniani ni moja tu, unless uwe haufati dini ya Mwenyeezi Mungu.
Maana ya dini ni njia, sasa ni wewe na muono wako tu.
Weee acha kudanganya hayo mnayo nyie hapa tumefunikwa kwa Damu ya Yesu Kristo aliye hai na shetani akijaribu kusogea anaungua sijui wenzetu mnaomfukizia udi .