kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,207
- 7,364
Ok. Ni kama mapepo, misukule au ni viumbe flan tu?Vinyamkera ndio michezo yao hiyo... Halafu huwezi kuviona
Ok. Ni kama mapepo, misukule au ni viumbe flan tu?Vinyamkera ndio michezo yao hiyo... Halafu huwezi kuviona
Kwa io unakua umevipa lift?Vinyamkera ndio michezo yao hiyo... Halafu huwezi kuviona
Mmh poleni sanaIla ni kweli huwa wana jicho la tatu;
Nasema kwa kuwa mzee wetu wakati akiendelea na kazi yake
ya kulinda pale kanisani, siku moja jioni anatoka nyumbani kwenda
hapo kazini kwake alitokea kichaa na akamchapa fimbo mgongoni;
Haikupita wiki mzee akavamiwa na majambazi na wakamuulia pale pale kanisani;
Pengine tungejuwa kuwa kichaa ana jicho la tatu yasingetokea.
Kuna watu wanamuelewa sana Kwa sababu ya uelewa wao au mambo waliyowahi kukutana nayo, mfano,Mimi binafsi anachokiongelea nimekiona Live, kama si Nguvu ya Mungu ningekuwa mwendawazimu, toka nilipokuwa mtoto nilikuwa naona watu na vitu vya ajabu sana, tena sana, nilikuwa naweweseka mara kwa mara, Maisha yangu yalikuwa na nguvu mbili zinazoshindana. Nimeona majoka makubwa, mimeona watu warefu na wa kutisha nimeona wanyama wa kila namna, vingi vingi sana. Nyumbani walinichoka, lakini taratibu mambo yalikuwa yanabadilika kwani kuna nguvu ilikuwa inanilinda , hatimaye niko hapa nilipo, kuna mengi sana yote siwezi kuyasema hapa angalau nasema kidogo uweze kuona.Hehehe mkuu I don't see a point in arguing with voodoo, simply because it doesn't exist and you have never experienced it nor can you prove it.
Am curious to know what you know about my username though!!
Yeyote aitaftaye ataipata mkuu! Mungu si mchoyo ila ni mwema kwa wanaomtafuta katika kweli.Huigawa kwa wachache kama kipawa
Aisee kwa hiyo zote ni roho ila zinagawanyika katika mazingira yanayowahusu tuMaruhani ni roho ambazo kwa sehemu kubwa zinaishi nchi kavu, majini kwa sehemu kubwa wanaishi baharini na mizimu ni roho za wafu
AminaIshi neno... Tenda neno... Shika neno... Aaamen..! Nawe utaitwa mbarikiwa