Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,532
Ninahisi kitu kama hicho lki ngoja nipambane kwa aingie pmMdogo wangu huyu atakuwa anaogopa maswali sio bure. [emoji124] [emoji124]
Ninahisi kitu kama hicho lki ngoja nipambane kwa aingie pmMdogo wangu huyu atakuwa anaogopa maswali sio bure. [emoji124] [emoji124]
Umenikumbusha mbali sana mkuu.Kiukweli nakunywa na ubaya nakun'guta kila aina ya pombe makata break buza mataputapu Heineken wines gongo vodka konyagi... nachanganya ladha.
Mtakatifu hapa ajisemee maana kuna wale wanavuta ila wanavutia washing room
wasio kunywa starehe yao wanawake..ni vitomb.i haoMama yangu weeeeee...jamani nilikuwa nakutafuta siku nyingi ujue.haleluya!!hahahahaha
Yalaaaa
[emoji28] hapo umetia chumvi jirani nakunywa ila not to zet eksitent... pulizzz gim burekHaaaaa tena weweeeeee...jirani huwezi amini hata huu mwandiko wako unanukia chang'aa na balimi.
Swali linaloniumiza kichwa ni kwamba kumbe hata huko zipo.
We bisha jirani.kuna siku tutakaa meza moja tuone nini kitatokea[emoji28] hapo umetia chumvi jirani nakunywa ila not to zet eksitent... pulizzz gim burek
Doh! Korongoni tena.Kakwama kwenye korongo hapa...huwez amini jiran bado najitahid kumvuta.
Ehee umekwama korongoni.Doh! Korongoni tena.
Haya Lete kamba inisaidie kutoka humoEhee umekwama korongoni.
Wallah kwa staili hii kamba naileta.Haya Lete kamba inisaidie kutoka humo
ukikua kidogo ulete marejesho hap hata mimi nikiwa na umri kama wako nilikua nasema hivyohivyoKwahiyo hukamiliki hadi utumie hiyo mivitu si ndio?
Basi kama ni hivyo Mimi nipo tayari kuwa hiyo kasoro mkuu
Kwani wewe unajua Mimi nina umri gani?ukikua kidogo ulete marejesho hap hata mimi nikiwa na umri kama wako nilikua nasema hivyohivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyege sio kudindisha mkuu ile ni hali ya hewa kama kiangazi ipo tu hata kama haijachokozwa inaeza tokeasasa bila kudinda ingekuwaje? nyege ndiyo
duh sawa mkuuuNyege sio kudindisha mkuu ile ni hali ya hewa kama kiangazi ipo tu hata kama haijachokozwa inaeza tokea
Nmefanyaje tena mama?
Hujafanya kitu swahiba. Tulikuwa tunaulizana kulikoni wapita kimya kimya pasi kutia neno.Nmefanyaje tena mama?
ha ha ha haHujafanya kitu swahiba. Tulikuwa tunaulizana kulikoni wapita kimya kimya pasi kutia neno.
Kwani swahiba huwa unatumia hii kitu. [emoji87] [emoji87]
Amani sanaduh sawa mkuuu
Mmh. Haya bana swahibaha ha ha ha