Je ni kweli hili suala?

Je ni kweli hili suala?

Na ww unakunywaa? Em kwanza nidokoze vp mtakatifu anaonja
Kiukweli nakunywa na ubaya nakun'guta kila aina ya pombe makata break buza mataputapu Heineken wines gongo vodka konyagi... nachanganya ladha.

Mtakatifu hapa ajisemee maana kuna wale wanavuta ila wanavutia washing room
 
Kiukweli nakunywa na ubaya nakun'guta kila aina ya pombe makata break buza mataputapu Heineken wines gongo vodka konyagi... nachanganya ladha.

Mtakatifu hapa ajisemee maana kuna wale wanavuta ila wanavutia washing room
Daaah umetisha hadi mataputapu[emoji119] [emoji119]
 
Jamani naombeni nianze moja kwa moja kwenye mada, maana kuna sehemu nilikuwa napata moja moto moja baridi sasa mwenzangu mmoja baada ya kukolewa na maji akatoa kauli hii "hapa ni kunywa na kukojoa ila heshimu nyege tu, maana bila nyege usingezaliwa wewe" JE KUNA UKWELI HAPA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Je wakati huyo jamaa anaongea hayo alikuwa ashatundika chupa ngapi? je na wewe ulikuwa ushatundika ngapi? Je ushawahi kutana nae kesho yake akiwa hana pombe kichwani ukamuuliza alikuwa anamaanisha nini? MAANA sisi kujua alikuwa anamaanisha nini itabidi mpaka weekend tukiwa tumeutundika kama yeye.
 
Hayo ni maoni yao lakini pia sisemi hayana ukweli moja kwa moja ila hapa kila mtu anasoma na anaona basi tufanye kitu kimoja.
Kama kuna mdada hapa JF niliwahi kukufuta PM nikakushushia mistari Mimi mwenyewe nakuruhusu bila shaka yoyote njoo hapa useme ukweli.
Usiongee hivyo bwana unanikata maini ujue
 
Tatitzo wanatuonea sisi wanatwambia tunapenda gauni.
Basi ngoja na Mimi nigonge like kwanza
Hahaaa. Best hiyo ni tabia ya mtu binafsi na sidhani kwamba zinaenda pamoja kwamba usipokuwa mlevi lazima upende sketi

Hongera sana kwa kutokunywa hivyo vitu.
 
Wallah simwachi huyu ni fresh kabisaaaaaaa.mbn huyu pm nitamfundisha mimi namna ya kuingia jirani .
Subira haivuti heri peke yake bali huvuta watu pm pia.
Hahaaaa na hatimae umemvutaaa
 
Jirani mimi kiukweli kuonja siachi.... pombe ni Tamu saana ila siyo kila siku
Haaaaa tena weweeeeee...jirani huwezi amini hata huu mwandiko wako unanukia chang'aa na balimi.

Swali linaloniumiza kichwa ni kwamba kumbe hata huko zipo.
 
Nyinyi jadilini tu ila siogopi kusema vile nilivo, ila kwa vile watu hapa hatufahamiani kiuhalisia inakuwa ngumu kuthibitisha ukweli wa kitabia hadi ukaaminika, unasema unaweza usiwe mtu wa pombe sana but ukawa wa skirt.
Unawaza usiamini kwasababu hakuna ushahidi ila ukweli sio wote ni watu hivyo mnavyodhani wandugu.
Basi ukiona hivyo tean domo zege. broo watu wanasema by experience
 
Back
Top Bottom