Je, ni kweli asilimia kubwa ya watu mashuhuri na matajiri kwenye hii dunia, utajiri wao sio wa halali au umetokana na mambo ya kichawi au Masonic?

Mkuu naona kama unataga ligi hivi.

Mimi kuna vitu ambavyo vimeshanitokea kwenye maisha yangu na kusababisha maisha kuyumba kwa kiasi kikubwa ni kwa sababu ya uchawi,
So mimi naongea kutokana na experience yangu, ila sikushawishi wewe uamini kama hivi vitu vipo.
Unahakikishaje vitu hivyo vilitokea kwa sababu ya uchawi, na si kwamba wewe unafikiri tu vilitokea kwa sababu ya uchawi?

Kwanza hata huja define uchawi ni nini.

Uchawi ni nini?

Unajuaje unachofikiri uchawi ni uchawi kweli na si kitu ambacho hukifahamu tu?
 
Unahakikishaje vitu hivyo vilitokea kwa sababu ya uchawi, na si kwamba wewe unafikiri tu vilitokea kwa sababu ya uchawi?

Kwanza hata huja define uchawi ni nini.

Uchawi ni nini?

Unajuaje unachofikiri uchawi ni uchawi kweli na si kitu ambacho hukifahamu tu?
Mimi sibishani na wewe kwa sababu kila mtu ana mapito yake kwenye haya maisha.

Sijasema hivyo ili nikuaminishe kama uchawi upo

Ila mimi nitaendelea kuamini kuwa uchawi upo mpaka kesho
 
Hawezi kukujibu huyo.kiranga heshima yako
Unahakikishaje vitu hivyo vilitokea kwa sababu ya uchawi, na si kwamba wewe unafikiri tu vilitokea kwa sababu ya uchawi?

Kwanza hata huja define uchawi ni nini.

Uchawi ni nini?

Unajuaje unachofikiri uchawi ni uchawi kweli na si kitu ambacho hukifahamu tu?
 
Bhasi habari za wakati huu wana jf wote poleni na hongera katika kuendelea kupambana na hizi changamoto za haya maisha.

Bhasi bhana leo nikiwa naendelea na mapumziko ya sikukuu hiii ya Christmas,
Huku nikiwa nina uchovu wa ajabu nikasema siku ya leo sio mbaya nikatumia na wadau wangu wa hapa mtaani katika kubadilishana mawazo labda huenda nikapata jambo jipya la kujifunza.

Niende moja kwa moja kwenye mada ni kwamba hawa jamaa zangu walikua wanajadili mada ya kuwa hakuna tajiri yoyote kwenye hii dunia na Tanzania hapa ambaye anaendesha utajiri wake pasipo kuhusisha na mambo ya kichawi au MASONIC State.

Jambo ambalo kwa upande wangu nilijaribu kuwapinga nikasema, kweli wapo lakini kuna wengine utajiri wao ni wa halali kabisa.

Lakini wao walijaribu kupinga na kusema wachezaji maarufu kama C. Ronaldo, L. Messi eti na Billigate ni watu ambao wanahusika au utajiri wao unaendeshwa na hawa Masonic.

Na kwa hapa bongo walijaribu kuwataja wasanii maarufu pamoja na matajiri maarufu wakisema katika utajiri wao kuwa na Imani za kishirikina.

Sasa hawaaa jamaaa nimejaribu kuwaapuuza kwa kuona kama ni propaganda fulani hivi, na kutokana wao wenyewe bado hawana maisha, sasa wanajaribu kuhusisha kila aliyefanikiwa na mambo ya kichawi.

Je?, Ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watu wenye mafanikio kwenye hii dunia bhasi hutumia ushirikina katika kuendesha utajiri wao?
Naomba uamini ya kwamba UTAJIRI wa mtu huja tu wenyewe wakati mwingine bila hata yeye kutarajia na baada ya hapo inabaki maarifa na juhudi zake kutunza na kuendeleza huo utajiri

Maswala ya uchawi na masonic wakati mwingine ni mambo ya kufikirika tu na watu wa hivyo ni wachache sana sana

Pia, si wengi sana duniani watakao pata utajiri,hivyo unaweza lazimisha kwa uchawi,ujambazi,huo sijui umasonic na bado ukaishia umaaikini tu

Wewe endelea na mishe zako kwa kulidhika kabisa bila tamaa na kama ipo itakuja tu,kama haipo utaishia kua kama ulivyo
 
Mimi sibishani na wewe kwa sababu kila mtu ana mapito yake kwenye haya maisha.

Sijasema hivyo ili nikuaminishe kama uchawi upo

Ila mimi nitaendelea kuamini kuwa uchawi upo mpaka kesho
Unaruhusiwa kuamini unachotaka.

Hiyo ni haki yako ya kikatiba.

Mimi siingelei imani, naongelea facts.

Umeshindwa hata ku define uchawi ni nini, achilia mbali kuthibitisha uchawi upo.
 
Kwa mfano wewe umethibitisha kitu ila mim sijathibitisha. Je, hicho kitu kitabadili ukweli halisi kuwa si cha kweli kwa vile mim tu sijathibitisha?
Mosi.Unathibitisha vipi mimi nimethibitisha, na sifikiri tu kwamba nimethibitisha?

Hili moja.

Pili, mimi nikithibitisha, kiukweli, kitu ambacho hakina ubishi, kwa mfano, square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2, na wewe usipokubali hilo, wewe kutokubali hakubadili ukweli.

Lakini, hapo tunarudi mwanzo kwenye mosi.

Kuhakiki kwamba, je, ni kweli square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2?

Kuhakiki hivi ni muhimu, kwa sababu, mimi kusema tu square root ya 2 ni lazima iwe ndogo kuliko 2 hakufanyi hilo liwe kweli.

Sasa hapo ndipo tunakuja kwa watu wanaosema uchawi upo.

Wanathibitisha vipi uchawi upo?

Kwa mtu asiyejua Chemistry, sumu inayoua kikemikali inaweza kuitwa uchawi.

Mababu zetu walioishi miaka 200 iliyopita walipoona wazungu wanaua kwa bunduki, waliona huo ni uchawi.

Wangeona redio, internet, TV, utabiri wa haki ya hewa, utabiri wa kupatwa jua leo, wangesema huu ni uchawi.

Sasa wewe unahakikisha vipi hayo mambo unayoyaita uchawi leo si mambo tofauti usiyoyaelewa tu?
 
Ukiipitia ile channel ya "Davistar Mata" kwenye You tube unaweza pata jibu la swali lako straight
 
Mimi sibishani na wewe kwa sababu kila mtu ana mapito yake kwenye haya maisha.

Sijasema hivyo ili nikuaminishe kama uchawi upo

Ila mimi nitaendelea kuamini kuwa uchawi upo mpaka kesho
Wewe unayeamini uchawi upo upo sahihi na huyo anayesema uchawi haupo naye yupo sahihi kwasababu uchawi ni IMANI lakini pia uongo una nguvu kuliko ukweli vinginevyo Dunia isingetawalika.
 
Back
Top Bottom