Je, ni kweli asilimia kubwa ya watu mashuhuri na matajiri kwenye hii dunia, utajiri wao sio wa halali au umetokana na mambo ya kichawi au Masonic?

Pole Sana dogo

Nenda wakupime ugonjwa unaitwa
TANGENTIAL THINKING DISORDER
Maana kazi kuharishia watu mavi humu jamii forum

Nimekuuliza makusudi, huo ndio upumbavu unao ulizaga watu humu mara kwa mara, Nadhani umeuona

" Unaweza kuthibitishia .... ..... .... ? "
" unaweza kudefine blah blah ..... .... "
Wewe ni troll uliyekosa bwana ambaye unatafuta mwanamme akupe attention.

Mimi kuanzia sasa sikupi attention nakupeleka ignore list nisione kabisa mashonde, madifu, makimba na uharisho unaoporomosha hapa.
 
Huwezi kuwa masikini wa kutupa bila kuwa mchawi au mshirikina

Utajiri ni bidii, akili, ujanja katika kuzalisha mali, na kutunza matokeo ya mali ulizozalisha
 
Asilimia kubwa inaanzia ngapi na unaweza kuthibitisha uchawi upo kweli?
Uchawi upo hata kwenye maandiko matakatifu wameliweka wazi "SIHIRI" uchawi upo


unapenda kutumia nene kutibitisha ili kuipa nguvu hoja yako
 
Katika ukristo kitendo chochote cha kutafuta msaada wa rohoni au mwilini kwa kupitia nguvu nyingine mbali na nguvu za Mungu, biblia inakiita Uchawi,…Na ni wazi kuwa hakuna nguvu nyingine iliyo kinyume na Mungu zaidi ya nguvu za shetani, Na uchawi kwa ujumla umebeba mambo mengi, kuloga, kuagua, kutazama utabiri wa nyota, kubashiri, kusihiri, kuabudu sanamu, hata kuamini baadhi ya movie au magemu ambayo yanatoa maagizo fulani kukuaminisha kuwa unaweza kupata maelekezo ya maisha yako mbali na nguvu za Mungu ni uchawi n.k. vipo vingi, kwa ujumla vyote hivyo vinaitwa uchawi.


Kumbukumbu 18:10 “Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.’’

Ufunuo 22:14 Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

15 Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.

Ufunuo 21:8 “Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.”
 
Uchawi upo hata kwenye maandiko matakatifu wameliweka wazi "SIHIRI" uchawi upo


unapenda kutumia nene kutibitisha ili kuipa nguvu hoja yako
Mandiko unayoyaita matakatifu yamejaa contradiction, hivyo, mimi siwezi kuyakubali kama maneno ya kuyachukua ili kuhakiki kitu.

Ukichukua Quran na Biblia kwa mfano, vitabu hivi viwili, kwa mtu anayeangalia mantiki, akivisoma, ataona makosa mengi ya kimantiki, na vitabu kujipinga.

Kwani wewe hupendi mambo yathibitishwe? Kutaka mambo yathibitishwe ni kitu kibaya?

Bila kuthibitisha mambo, utajuaje hili ni la kweli na hili ni la uongo?

Mimi kutaka uthibitisho inakuwaje kitu kibaya?

Wewe ukikubali vitu bila uthibitisho, utajuaje unavyokubali bila uthibitisho ni vitu vya kweli na si vya uongo?
 
Hizo ni fikra za masikini kuwajadili matajiri ata wewe ebu jitume utajilike maskini wakwambie wewe mchawi
 
Ushawahi kujiuliza kwanini masikini pekee ndio anahabit ya kuhusisha kila kitu na uchawi?
 
Mambo ya Masonic ni utetezi wa watu wavivu na wazembe wanotafuta kualalisha kutokufanikiwa kwao
 
Kila kitu hp duniani kipo,utajili wa kichawi upo,wa hali upo.Lkn kwa binafsi yangu utajili hasa kwa sisi wabongo(Africans) wengi japo cyo wote wanaojihusisha na uchawi ktk upatikanaji wa mali zao.af tunapo zungumzia matajiri ni wale millionea
 
Back
Top Bottom