FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,080
- 40,733
Mshana Sr alimiliki matoleo yoteKuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu...
View attachment 1286967
Peugeot 404
504 haikutamba 70's tu, mpaka miaka ya 90's mwishoni, ikapokelewa na 505.
Matajiri wengi wa enzi hizo walikuwa wanamiliki 504.
Ahsante kwa taarifa.504 ndiyo iliyakuwa ikiitwa 'Gurue' na si 404.
Aisee..., wanyoa viduku wa Altezza na subaru wana mengi ya kujifunza kwa kweli...504 zilikuwepo aina 2,yaani CR naGL GLndio iliitwa guruwe ilikuwa na speed zaidi ya 180.ilikuwa na drive shaft kwa nyuma
Nguruwe ni 504 siyo 404. Sababu ni mbio na uimara kwa pamoja.Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Peugeot 403 pamoja na 404 ndizo zimetumiwa sana kwa taxi. 304 haikuwa popular na ndio gari za kwanza kuingia zikiwa front wheel driveHalafu yalikuwepo yale ma pegeot 304 yalikua ma tax maarufu sana pale Tabora bus stand na Railway station
Aisee..., kwa gari za kisasa ipi inafaa kuitwa 'guruwe'?Guruwe ni 504 siyo 404. Sababu ni mbio na uimara kwa pamoja.
Nissan patrolAisee..., kwa gari za kisasa ipi inafaa kuitwa 'guruwe'?
Labda SubaruAisee..., kwa gari za kisasa ipi inafaa kuitwa 'guruwe'?
Mmh, labda Brevis bhana...Labda Subaru