Je, ni kwanini Peugeot 404 na 504 ziliitwa 'nguruwe'?

Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Tulikuwa tunaifananisha na jeans, itia rangi inakuwa mpya unarudi barabaran.
 
Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Hii ni gari ya Mfaransa, mbona hata miaka ya 90 zilikuwepo.

Mzee wangu alikuwa anaita ''Forofoo'' yaani 404.
 
Kuna mzee mmoja kanisimulia kwamba miaka ya 1970 gari aina ya Peugeot 404 na 504 ndio zilikuwa habari ya mjini, na wenyewe walizipa jina la utani la 'Guruwe', ila nikasahau kumuuliza nini chanzo cha kuliita hivyo? Ni kama baadhi ya watu wanavyoendesha 'makalio ya nyani' ikiwa kama jina la kupachikwa tu.
View attachment 1286967
Peugeot 404
Kwa sababu zina roho ngumu na ni ngumu kuvumilia mkiki mkiki ma imara sana na likivyotengenezwa hata kuliangusha ni vigumu sana
 
Back
Top Bottom