Je, ni kiwango gani sahihi cha fedha kumpatia mzazi mwenzako kwa ajiri ya malezi ya mtoto?

Ebejo

New Member
Aug 5, 2023
1
1
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, pia ni kijana ninayezidi kupamba kukumbizana na umasikini,

Nahitaji ushauri maana mimi mwaka jana nilibahatika kupata mtoto japo haikua malengo yangu kwani mama wa mtoto tulikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye tamasha la sabasaba nikiwa na ni rafiki yangu ambaye waliongea naye na kufikia hatua ya kubadilishana namba za simu ila rafiki yangu simu yake ilikua imezima hivyo basi alitumia simu yangu kuchukua namba na kupiga ili kuthibitisha kama namba ni sahihi.

Ilipofika jion binti alituma sms ila sikumjibu coz nilijua alikua na shida na rafiki yangu, siku iliyofuata rafiki tukiwa kwenye harakati za kazi ya kutafuta riziki, Rafiki yangu alichukua namba na kuunza safari ya mawasiliano na binti, ila rafiki yangu anamke pia Anawatoto 2.

Cha kushangaza yule binti alikua anatufahamu vizuri na pia alimuuliza rafiki yangu kuhusiana na ile namba yangu, ndipo alianza kunitumia sms kadri ya alivyoweza japo sikua najibu nilwambia rafiki yangu nayeakasema msikilize anashida gani maana kwake hamjibu sms akimtumia pia hata simu hapokei.

Ilikua usiku wa tarehe 20/7/2022, alinipigia simu na kuniomba tuonane kunaswala anahiji kunishirikisha, mimi sikusita, siku iliyofuata tulionana ila cha ajabu ilikua ni gesti ila kwangu nilitambua kua ni gest baada ya kuingia chumbani kwani nilipitishwa mlango wa nyuma.

Nilijiuliza sana kwa nini kafanya vile ila sikua na jibu maana nakumbuka kuna siku alinitumia sms ya kua anahamu ya sex, basi na mimi kutokana na kuwa mbali na mpenzi wangu pia kua na muda mrefu bila kufanya sex nilijikuta kutoa support ila niliomba kondomo kwa muhudumu nikaletewa wakati wa kufanya alikataa nisitumie na kudai kua mafuta hua yanamuwasha.

Kumbuka nillikuana njaa ya siku nyingi sikufikilia litakalotokea badaye, baada ya siku mbili yule bint alijistukia na kuanza kuniambia nimtongoze ili kutimiza azima kua nilimtongoza kwani nilikula mzigo Bila kumtongoza.

Ndio nilipomwambia kua mimi ninamtu wangu na ninampenda siwezi kumdanganya yeye kua nampenda , ila baada ya siku kadhaa bint alidai anamimba yangu nakuhitaji nimuoe niliweka msimamo wangu wa kutokuudanganya moyo wangu kwa kumuoa.

Kumbe alikua amekwisha pewa wasifu wangu sehemu aliyokua anajitolea baada ya kuhitimu chuo kikuu 2021, kua sijaoa pia n mpambanaji kwa upande wangu nilijilaumu sana na hadi Leo naichukia ile siku kwani sikumpenda huyu bint pia sikuwa na malengo ya kuzaa zaa watoto hovyo Bila kuoa /kukaa na mama wa watoto/mtoto.

Nilimshauri na kueleza atakapozaa mtoto atukua single mama nikitumai kua angetoa mimba ila hakuteteleka na lolote, mwanzo niliwaza sana na kujipa jibu moyoni mwangu kua mtoto sio wangu japo siku mwambia.

Cha ajabu mtoto amezaliwa anafanana na Mimi pia baadhi ya alama anazo ambazo zipo kwa dada yetu wa mwisho na mtoto wa kwanza wa kaka yangu ( yaana kidole cha kati mkono wa kushoto kimegawanyika sehemu nne kwa kawaida ni tatu).

Kwa sasa nasumbuliwa na pesa za malezi ya huyu mtoto kwani nimekua nikitoa 50,000/= na kudai kua haitoshi, pia na mimi nimeyumba kiuchumi zaidi.

Naomba mnishauli je, ni kiasi gani cha fedha kitakua sahihi kumpatia ? Japo inaniuma sana kila nikimuwaza mtoto pia namchukia sana mama yake.
 
Iko hivi kijana, kama ulikuwa unapita tu na hamsini zako ulikula deiwaka bila kumpenda huyo binti we endelea kutunza mtoto wako kwa kadiri ya uwezo wako wa kiuchumi.

Usisubiri kutunziwa mtoto wako na mwanaume mwingine atakayemuoa huyo binti na usimuache huyo mama alee peke yake.

Kingine ni kwamba kama huna mke na huyo binti hana mume oaneni tu mjenge familia yenu usije ukajuta kuoa mwanamke mwingine kwa tamaa kuwa anavutia kisura na kiumbo kumbe ana tabia mbaya mkaishia kuachana ukaanza kumkumbuka huyo wa mwanzo uliyezaa naye.
 
Kwa habari ya matunzo hakuna ukomo wa kiasi cha fedha unachotakiwa kupeleka kwa hiari yako we peleka kiasi chochote utakachojisikia upeleke.

Usisubiri mpaka huyo mama aamue kukuburuza ustawi wa jamii au dawati la jinsia la polisi ili ukapangiwe kiasi rasmi cha kupeleka kila mwezi ili kutunza huyo mtoto kwa lazima.

Peleka fedha na madikodiko mengine ya mtoto, hata mama yake ataendelea kukupenda na kukuthamini kwa kuwa unamtunza mtoto.

Angalizo: usije ukaingiwa wivu utakaposikia huyo mwanamke ana mahusiano ya kimapenzi/ndoa na mwanaume mwingine ukaacha kupeleka/kutuma fedha/mahitaji ya mtoto wako, na usimchukie huyo mama wala kutaka kupasha kiporo, heshimu mahusiane yake na mtu mwingine usimvurugie.

Penda mtoto wako, hata usipomjali mama mtoto wako atapata mtu wa kumpenda na kumpatia mahitaji yake.

Amani na upendo vitawale daima kwa heshima ya mtoto wenu mliomzaa
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33, pia ni kijana ninayezidi kupamba kukumbizana na umasikini,

Nahitaji ushauri maana mimi mwaka jana nilibahatika kupata mtoto japo haikua malengo yangu kwani mama wa mtoto tulikutana naye kwa mara ya kwanza kwenye tamasha la sabasaba nikiwa na ni rafiki yangu ambaye waliongea naye na kufikia hatua ya kubadilishana namba za simu ila rafiki yangu simu yake ilikua imezima hivyo basi alitumia simu yangu kuchukua namba na kupiga ili kuthibitisha kama namba ni sahihi.

Ilipofika jion binti alituma sms ila sikumjibu coz nilijua alikua na shida na rafiki yangu, siku iliyofuata rafiki tukiwa kwenye harakati za kazi ya kutafuta riziki, Rafiki yangu alichukua namba na kuunza safari ya mawasiliano na binti, ila rafiki yangu anamke pia Anawatoto 2.

Cha kushangaza yule binti alikua anatufahamu vizuri na pia alimuuliza rafiki yangu kuhusiana na ile namba yangu, ndipo alianza kunitumia sms kadri ya alivyoweza japo sikua najibu nilwambia rafiki yangu nayeakasema msikilize anashida gani maana kwake hamjibu sms akimtumia pia hata simu hapokei.

Ilikua usiku wa tarehe 20/7/2022, alinipigia simu na kuniomba tuonane kunaswala anahiji kunishirikisha, mimi sikusita, siku iliyofuata tulionana ila cha ajabu ilikua ni gesti ila kwangu nilitambua kua ni gest baada ya kuingia chumbani kwani nilipitishwa mlango wa nyuma.

Nilijiuliza sana kwa nini kafanya vile ila sikua na jibu maana nakumbuka kuna siku alinitumia sms ya kua anahamu ya sex, basi na mimi kutokana na kuwa mbali na mpenzi wangu pia kua na muda mrefu bila kufanya sex nilijikuta kutoa support ila niliomba kondomo kwa muhudumu nikaletewa wakati wa kufanya alikataa nisitumie na kudai kua mafuta hua yanamuwasha.

Kumbuka nillikuana njaa ya siku nyingi sikufikilia litakalotokea badaye, baada ya siku mbili yule bint alijistukia na kuanza kuniambia nimtongoze ili kutimiza azima kua nilimtongoza kwani nilikula mzigo Bila kumtongoza.

Ndio nilipomwambia kua mimi ninamtu wangu na ninampenda siwezi kumdanganya yeye kua nampenda , ila baada ya siku kadhaa bint alidai anamimba yangu nakuhitaji nimuoe niliweka msimamo wangu wa kutokuudanganya moyo wangu kwa kumuoa.

Kumbe alikua amekwisha pewa wasifu wangu sehemu aliyokua anajitolea baada ya kuhitimu chuo kikuu 2021, kua sijaoa pia n mpambanaji kwa upande wangu nilijilaumu sana na hadi Leo naichukia ile siku kwani sikumpenda huyu bint pia sikuwa na malengo ya kuzaa zaa watoto hovyo Bila kuoa /kukaa na mama wa watoto/mtoto.

Nilimshauri na kueleza atakapozaa mtoto atukua single mama nikitumai kua angetoa mimba ila hakuteteleka na lolote, mwanzo niliwaza sana na kujipa jibu moyoni mwangu kua mtoto sio wangu japo siku mwambia.

Cha ajabu mtoto amezaliwa anafanana na Mimi pia baadhi ya alama anazo ambazo zipo kwa dada yetu wa mwisho na mtoto wa kwanza wa kaka yangu ( yaana kidole cha kati mkono wa kushoto kimegawanyika sehemu nne kwa kawaida ni tatu).

Kwa sasa nasumbuliwa na pesa za malezi ya huyu mtoto kwani nimekua nikitoa 50,000/= na kudai kua haitoshi, pia na mimi nimeyumba kiuchumi zaidi.

Naomba mnishauli je, ni kiasi gani cha fedha kitakua sahihi kumpatia ? Japo inaniuma sana kila nikimuwaza mtoto pia namchukia sana mama yake

Kiongozi pole sana kwa changamoto hata hivyo
Umesema kuwa huyo bint amesoma vizuri tu ngazi ya Degree (sio mdangaji) na amesha kuzalia mtoto na anaonekana anakupenda. Na kwa kisomo chake ni rahisi kupata cha kufanya mkasaidiana maisha hivyo
nakushauri umuoe tu. Hawa viumbe hawatabiriki; Unaweza kwenda kwa huyo mwingine ukarudi hapa kujutia..... nimeandika kwa uzoefu....
Kumbuka kupenda ni kuamua........
 
Muda mwingine Mungu anakutumia malaika ila unamkimbia, mimi nimepata mtoto na mdada ambae sikuwa na malengo nae nikalazimisha atoe mimba akakataa akazaa nikawa nahudumia mtoto,mara nikapata ajira nikafanya maamuzi magumu nikamvuta na kwenda kwao kujitambulisha mahari nin bado harusi tuna katoto kapili asee sijawahi jutia maamuzi yangu she is a gem!
 
Huyo ndio mkeo sasa, we tangatanga tu litakukuta jambo hakika.

Acha visingizio unless wakati unafanya yote hayo ulikuwa mwendawazimu.
 
Kimsingi Tsh 50,000/= inaweza isitoshe.

Chakufanya
1. Mkatie mtoto Bima Ile ya Tsh 40,000/=` Kwa Mwaka na kama uko njema mkatie Ile ya 192,000/=
Hili liwe Jambo la Kwanza.

2. Kila mwezi nunua chakula,(mcheke kilo 5, unga 5Kg, dagaa kilo moja, maharage 5Kg.
Alafu muachie elfu 50,000/= ya matumizi kama sabuni, mboga.

Kama utaweza nenda mtaani kwao, tafuta Duka la maziwa, chukua namba za mtu wa maziwa. Alafu mwambie awe anapeleka maziwa Lita moja mara tatu Kwa wiki, unalipia kila mwisho wa Wiki.

Kuhusu nguo kwa sababu zinavuka mara Kwa mara, utakuwa unampelekea au mnunulia kila utakapoenda kumuona.

Bajeti nyingine itakayojitokeza mwambie Mama yake achangie
 
Unaweza Muacha huyo na ukaoa mwingine na usipate mtoto kabisa na huyo mwingine.
Jitahidi kuwatunza.
Nunua chakula na kila kitu weka nyumbani kwao kama unahisi hela zinakuuma.
Muachie hela kiasi za mboga na dharula
 
Back
Top Bottom