Je, ni halali mke arithi mali mumewe akitangulia?

Je, ni halali mke arithi mali mumewe akitangulia?

Wajima bwana
Eti mwanamke hawezi miliki mali bila mwanaume
Unamjua Oprah Winfrey?
Sina hakika kama huyu mwana mama uliyemtaja hapa unamjua. Zaidi ya kusikia na kusoma taarifa zake. Lakini je, unajua ni nani anaemuongoza?

Siko hapa kutengua uelewa wako. Lakini jielimishe saikolojia ya mwanamke na mwanaume. Hapo utajua hilo neno "ujima" uliloliandika lina maana gani.
 
Niongezee chagizo kwenye mjadala huu:
1. Kijana umeoa, bahati mbaya mzazi wako hakuwa na 'mali' za kuendeleza, kwangu mie natafsiri mali za kuendelezwa kama biashara, sio mna nyumba ya kuishi, mko humo ukoo mzima mnasema mnaendeleza....sina uhakika mnaendeleza nini humo ndani. Sana sana mnagombania urithi wa hiyo nyumba, na akili za haraka haraka huwa iuzwe ili mgawane. Kijana ukapambana kwa jasho na damu, ukaanzisha biashara kedekede, mambo safi bin murua....sasa je, ndio hizi zinazouliziwa hapa kuwa ziachiwe nani, mke, watoto au familia alikotoka mume?
2. Kijana umetoka familia Alhamdulilah....mzee alikuwa na mali kedekede za kuendelezwa na akashirikisha vijana wake (wake kwa waume) katika kuendeleza mali zake. Mzee huyu asipokuwepo tena kwenye uso wa dunia, automatically, vijana wake wataendeleza kwa nguvu ile ile (assuming sio wale waliokuwa wanasubiri mzee avute ali waponde mali kufa kwaja). Sasa kijana mmojawapo aliyekuwa na familia (mke na watoto), naye akatangulia...nafasi ya mke na watoto wake kwenye huo mwendelezo ikoje?
 
Kwa watu wa kada ya chini (kwa kipato) ni kweli unayosema. Sasa hivi vijana wanakwenda na trend, hivyo akili zimekuwa programmed kuona mambo kama media zinavyotaka. Hata definition ya urembo inabadilika na wakati, ni mambo ya kupita. Siku za nyuma mwanamke mrembo alikuwa english figure, leo hii matako makubwa ndii kila kiu, it's the matter of season.

Familia zenye mali nyingi wako makini na hili, wanawakikisha wanabalance mambo ili watoto wao wasijetumbukia kwenye lindi la umaskini. Ni majira yetu yako hivyo mkuu
Nakuelewa mkuu...but hata hizi familia zetu apeche aroro tuendane na hali halisi bila mihemko ili kustahimili hili wingu....ili Ndoa ziwe za kweli kweli...wazazi wanayo nafasi kubwa sana kuelimisha wana wao nini kijacho, kujifunza kutambua na kuelewa...ila bila Mungu ........bado tutaangukia mule mule.....maana ndoa imekuwa just like fashion show.....na vile tunagharamikia hizo harusi ni balaa....
 
Mungu ana akili sana na kwa sababu tumemkataa wacha tuumie. Tangu misingi ya maandiko matakatifu Mungu aliagiza mtoto kurithishwa tena kama mnakumbuka yule mke wa pili alipokuwa amefukuzwa na mke wa Ibrahm Mungu akampa ahadi ya urith kwa kuwa tumbon alikuwa na baby boy. Sasa shetan amewazid akili kila kitu mwanamke ajira wanawake 50/50 na watoto wakiume wanaolewa nakuwa viumbe hatari kuliko hapo mwanzo na mwisho wa wote ni kiama maana uchungu umeanza
 
Nakuelewa mkuu...but hata hizi familia zetu apeche aroro tuendane na hali halisi bila mihemko ili kustahimili hili wingu....ili Ndoa ziwe za kweli kweli...wazazi wanayo nafasi kubwa sana kuelimisha wana wao nini kijacho, kujifunza kutambua na kuelewa...ila bila Mungu ........bado tutaangukia mule mule.....maana ndoa imekuwa just like fashion show.....na vile tunagharamikia hizo harusi ni balaa....
Nakubaliana nawe mkuu, Mungu ndiye mwenye kufanya ndoa imara.
 
Niongezee chagizo kwenye mjadala huu:
1. Kijana umeoa, bahati mbaya mzazi wako hakuwa na 'mali' za kuendeleza, kwangu mie natafsiri mali za kuendelezwa kama biashara, sio mna nyumba ya kuishi, mko humo ukoo mzima mnasema mnaendeleza....sina uhakika mnaendeleza nini humo ndani. Sana sana mnagombania urithi wa hiyo nyumba, na akili za haraka haraka huwa iuzwe ili mgawane. Kijana ukapambana kwa jasho na damu, ukaanzisha biashara kedekede, mambo safi bin murua....sasa je, ndio hizi zinazouliziwa hapa kuwa ziachiwe nani, mke, watoto au familia alikotoka mume?
2. Kijana umetoka familia Alhamdulilah....mzee alikuwa na mali kedekede za kuendelezwa na akashirikisha vijana wake (wake kwa waume) katika kuendeleza mali zake. Mzee huyu asipokuwepo tena kwenye uso wa dunia, automatically, vijana wake wataendeleza kwa nguvu ile ile (assuming sio wale waliokuwa wanasubiri mzee avute ali waponde mali kufa kwaja). Sasa kijana mmojawapo aliyekuwa na familia (mke na watoto), naye akatangulia...nafasi ya mke na watoto wake kwenye huo mwendelezo ikoje?
Umenena vema mkuu, tunaongelea mali zinazohitaji kuendelezwa, mfano mzee bhakhresa mali zake atarithi mke?
 
Haya Bwana Nyenyere nimekuja kwenye mada yako.

Ni halali mke arithi mali za mume akitangulia? Mimi nitaanza na kukuuliza wewe swali, ni wajibu wa nani kulea watoto wenu endapo utafariki?
Hapa tunatazama mali kwa mapana yake, si nyumba wala gari mbili ama pikipiki, tunatazama mali iliyowekezwa, mfano kiwanda.

Anayepaswa kulea watoto na mke ni ukoo, najua hili litakushangaza. Mke anatakiwa atunzwe kwa taratibu za ukoo kwani ji sehemu ya ukoo na hii ni kama watoto ni wadogo bado (kwa mujibu wa swali lako). Mali oia zitatunzwa kwa ajiri ya watoto na kumsaidia mama katika siku zake akiwa hapo nyumbani. Why?

Hutokea mke akaamua kuolewa ama akapata mtu wa kumuoa ili akajenge ukoo wa mwanamume huyo, kama alisimama kuwa mrithi wa mali za mume wa kwanza, basi mali hizo huhama na kwenda kuwa mali za mume wa pili. Hii inaweza kabisa kuwakosesha haki yao watoto wa marehemu kwa sababu ya malengo ya yule mwananmume wa pili. Hivyo mali ni za watoto na sio za mke na mume, wote wanatafuta kwa ajili ya watoto wao.

Una maoni gani mkuu?

Methali 13
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.

²⁴ Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
 
Mungu ana akili sana na kwa sababu tumemkataa wacha tuumie. Tangu misingi ya maandiko matakatifu Mungu aliagiza mtoto kurithishwa tena kama mnakumbuka yule mke wa pili alipokuwa amefukuzwa na mke wa Ibrahm Mungu akampa ahadi ya urith kwa kuwa tumbon alikuwa na baby boy. Sasa shetan amewazid akili kila kitu mwanamke ajira wanawake 50/50 na watoto wakiume wanaolewa nakuwa viumbe hatari kuliko hapo mwanzo na mwisho wa wote ni kiama maana uchungu umeanza
Umenena kweli ya Biblia mkuu, mrithi ni mtoto, wazazi wanasaka mali kwa ajili ya watoto.

Methali 13
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Mzazi mwema ataacha urithi utakaotumika hata kizazi cha pili, sio hawa wanaodai kila mtu atafute chake, maandiko hayako hivyo.
 
Young Man; God Bless you!! Ndugu wengi wanapata tabu kwa kutotambua na kukubali nafasi zao katika maisha ya ndugu yao mwenye mke na watoto!!
That's not a godly statement anyway. Alichosema na mtazamo wake wa kidunia, maandiko hayako hivyo, just in case you real want God to bless him!
 
ukimpata mke Msomi na ana shughuli ya kumuingizia kipato hili sio tatizo hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kifupi tu, I am against feminism. Hivyo hatutaelewana.

Hehehe I'm also against feminism, ila not the kind unayofikiria wewe, women and men can never be equal biologically, its obvious hatutokuja kuzaa kama wanaume na biologically males are stronger kwa sababu ya testosterone hormones zinasababisha tunakua na stronger muscles in general, ila kwenye mambo ya kawaida, mfano kazini kusema usimlipe mwanamke sawa na mwanaume kwa sababu tu yeye ni mwanamke na sio kua hafanyi kazi kwenye level sawa unakua unakosea sana, au kumnyima mwanamke position ya say manager unaweka mwanaume ambaye ni less qualified utakufa maskini. Kama una beliefs za kijinga namna hiyo mkuu I'd rather block you coz sipendi watu wenye fikra za kizamani sana to be honest, in my opinion they are poor and they have nothing better to do than pull others down to their level.
 
Sina hakika kama huyu mwana mama uliyemtaja hapa unamjua. Zaidi ya kusikia na kusoma taarifa zake. Lakini je, unajua ni nani anaemuongoza?

Siko hapa kutengua uelewa wako. Lakini jielimishe saikolojia ya mwanamke na mwanaume. Hapo utajua hilo neno "ujima" uliloliandika lina maana gani.
Lets assume simjui
Basi tufahamishe anaemuongoza...

Sijui mna nini kichwani abt women..wkt hizi ni zama Mama Samia is the Vice President
 
Hehehe I'm also against feminism, ila not the kind unayofikiria wewe, women and men can never be equal biologically, hatutokuja kuzaa kama males, its obvious, na biologically males are stronger kwa sababu ya testosterone hormones inasababisha tunakua na stronger muscles in general, ila kwenye mambo ya kawaida, mfano kazini kusema usimlipe mwanamke sawa na mwanaume kwa sababu tu yeye ni mwanamke na sio kua hafanyi kazi kwenye level sawa unakua unakosea sana, au kumnyima mwanamke position ya say manager unaweka mwanaume ambaye ni less qualified utakufa maskini. Kama una beliefs za kijinga namna hiyo mkuu I'd rather block you coz sipendi watu wenye fikra za kizamani sana to be honest, in my opinion they are poor and they have nothing better to do than pull others down to their level.
Pls have a cup of coffee and snacks..the bill on me
 
Hapa tunatazama mali kwa mapana yake, si nyumba wala gari mbili ama pikipiki, tunatazama mali iliyowekezwa, mfano kiwanda.

Anayepaswa kulea watoto na mke ni ukoo, najua hili litakushangaza. Mke anatakiwa atunzwe kwa taratibu za ukoo kwani ji sehemu ya ukoo na hii ni kama watoto ni wadogo bado (kwa mujibu wa swali lako). Mali oia zitatunzwa kwa ajiri ya watoto na kumsaidia mama katika siku zake akiwa hapo nyumbani. Why?

Hutokea mke akaamua kuolewa ama akapata mtu wa kumuoa ili akajenge ukoo wa mwanamume huyo, kama alisimama kuwa mrithi wa mali za mume wa kwanza, basi mali hizo huhama na kwenda kuwa mali za mume wa pili. Hii inaweza kabisa kuwakosesha haki yao watoto wa marehemu kwa sababu ya malengo ya yule mwananmume wa pili. Hivyo mali ni za watoto na sio za mke na mume, wote wanatafuta kwa ajili ya watoto wao.

Una maoni gani mkuu?

Methali 13
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²² Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.

²⁴ Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
Kulelewa na ukoo zama hizi za vyuma kukaza?..

Ukae nani akulee?..shemejio ama wifi ama mamkwe ama bamkwe?.utachora chini nakuhakikishia
 
Kulelewa na ukoo zama hizi za vyuma kukaza?..

Ukae nani akulee?..shemejio ama wifi ama mamkwe ama bamkwe?.utachora chini nakuhakikishia


Mtoto wake asisome asomeshe wa kwako??huku ni kutiana majaribuni..hakuna mwenye uchungu na wanao Zaidi ya mke aliyewabeba miezi tisa…..mwenzetu huyu..basi tu.
 
Ungesaidia kueleza hayo, ndio maana ya mjadala. Lakini kwa sababu umesoma ukiwa na pocha fulani ndio maana umehukumu hivyo. Good for you.
Kwahiyo umeleta mada biased ili sisi tuinyooshe? Hukutakiwa kuwa authoritative in that case bali inquisitive
 
Back
Top Bottom