Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Wakuu hii imekaaje.
Mfano uko private sector una contract ya 1 year. Mshahara ni 500k.
Badae upate kazi ya mshahara wa 700k, na contract ni mwaka mmoja.
Je, ni halali kumkimbia mwajiri wako ukipata deal zuri?
N.b working environment ni almost the same katika hiyo kazi ya 500k na ya 700k.
Ushauri jamani
Mfano uko private sector una contract ya 1 year. Mshahara ni 500k.
Badae upate kazi ya mshahara wa 700k, na contract ni mwaka mmoja.
Je, ni halali kumkimbia mwajiri wako ukipata deal zuri?
N.b working environment ni almost the same katika hiyo kazi ya 500k na ya 700k.
Ushauri jamani