bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,370
- 24,641
miungu ni kazi ya shetani Hana uwezo wa kuumba hata sisimizi, shetani Hana uwezo wa kutoa roho ya mwanadamu,miungu ni mingi ila soko Mungu ni mmoja tuUna uthibitisho upi kuwa Mungu anaweza na miungu haiwezi?
Anyway nani kaumba hao miungu? Na lipi ni lengo la kuumba miungu ikiwa kuna Mungu mmoja?