Mr Alpha
Senior Member
- Jul 31, 2018
- 195
- 522
Mafanikio yako ni mafanikio ya watu wengi.wapo wengi nyuma yako wanasubilia uainue.
Ukipiga hatua moja ya mafanikio piga na ya pili alafu hatua ya tatu wainue ndugu na marafiki zako na jamii inayokuzunguka.
Kumbuka kuwa watu wapo katika harakati za maisha wapo watesekao,hawajui watakula nini,kwahiyo wewe kama umefanikiwa tambua Mungu amekupa wewe ili uwakomboe na wenzako
Asante
-Yakobo 1.27 Dini iliyo safi, isiyo na uchafu mbele za Mungu Baba, ndio hii: kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu.
Ukipiga hatua moja ya mafanikio piga na ya pili alafu hatua ya tatu wainue ndugu na marafiki zako na jamii inayokuzunguka.
Kumbuka kuwa watu wapo katika harakati za maisha wapo watesekao,hawajui watakula nini,kwahiyo wewe kama umefanikiwa tambua Mungu amekupa wewe ili uwakomboe na wenzako
Asante
-Yakobo 1.27 Dini iliyo safi, isiyo na uchafu mbele za Mungu Baba, ndio hii: kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu.