Je, naweza kutumia gari yenye usajili wa Zanzibar, Tanzania Bara?

Hapana sio wote

Hautapata hicho kibaki kirahisi mkuu.
Utaambiwa uweke deposit/ dhamana yenye thamani ya deni la ushuru/ kodi inayodaiwa gari. Itakua ngumu sana kupata hicho kibali cha miezi mitatu.
 
Nashauri tutembelee tivuti husika za TRA Bara na Visiwani kujua ni nini hasa unapaswa kufanya kuliko kutoka kichwa kichwa na gari lako bila kujua taratibu za nchi husika ukanyolewa bila kupenda.
 
Inawezekana lakini utaratibu wake umekua mgumu kidogo siku za hivi karibuni.

Naomba nitoe maelezo kidogo, Zanzibar ni tofauti na Bara, ukiwa Zanzibar unaweza kulipia ushuru 30%, 40% au 50% na ukachukua gari yako bandarini ukaendelea na maisha, hivyo magari mengi yanadaiwa ushuru.

Bara ni nadra sana kama sio haiwezekani kuitoa gari bandarini bila kukamilisha malipo ya ushuru.

Hapo ndio changamoto inapoanzia, awali ilikua unaandika barua kuomba kutumia gari yako bara kwa miezi mitatu na ilikua unapewa kibali, ikaonekana wajanja wanatumia huo mwanya kupeleka magari bara wanafanya manuva, gari haiurudi, inapigwa juu kwa juu huko huko na kubadilishwa usajili.

Sasa hivi utaambiwa uache dhamana sawa na kiasi cha kodi inayodaiwa gari husika. Sasa kwa huo usumbufu si bora umalizie kodi iliyobaki ili hata ukivuka nalo hakuna mlolongo mrefu?

Ikiwa gari yako imelipiwa ushuru asilimia zote, haidaiwi, unaandika tu barua TRA/ ZRB kisha utamalizana na Agent na usafirishaji ambazo gharama zitategemea na ukubwa wa gari.

Nafikiri umepata mwanga kidog

Inawezekana lakini utaratibu wake umekua mgumu kidogo siku za hivi karibuni.

Naomba nitoe maelezo kidogo, Zanzibar ni tofauti na Bara, ukiwa Zanzibar unaweza kulipia ushuru 30%, 40% au 50% na ukachukua gari yako bandarini ukaendelea na maisha, hivyo magari mengi yanadaiwa ushuru.

Bara ni nadra sana kama sio haiwezekani kuitoa gari bandarini bila kukamilisha malipo ya ushuru.

Hapo ndio changamoto inapoanzia, awali ilikua unaandika barua kuomba kutumia gari yako bara kwa miezi mitatu na ilikua unapewa kibali, ikaonekana wajanja wanatumia huo mwanya kupeleka magari bara wanafanya manuva, gari haiurudi, inapigwa juu kwa juu huko huko na kubadilishwa usajili.

Sasa hivi utaambiwa uache dhamana sawa na kiasi cha kodi inayodaiwa gari husika. Sasa kwa huo usumbufu si bora umalizie kodi iliyobaki ili hata ukivuka nalo hakuna mlolongo mrefu?

Ikiwa gari yako imelipiwa ushuru asilimia zote, haidaiwi, unaandika tu barua TRA/ ZRB kisha utamalizana na Agent na usafirishaji ambazo gharama zitategemea na ukubwa wa gari.

Nafikiri umepata mwanga kidogo mkuu.
Jamani Mimi mnanichanganya at,ninachojua swala la fedha na mambo ya kodi ni swala LA Muungano sasa hayo mambo ya ZRB tena ndio nini huku tuna TRA??
 
Wandugu,

Nina gari Zanzibar, nataka kuja nalo bara, na niweze kulitumia kwa miezi michache.

Swali langu: je, ni process gani zinatakiwa kufuatwa?

Kama kuna mtu yeyote amewahi kupata changamoto kama hii naomba aniambie alitatuaje.
Je? Unaweza kuvaaa chupi ya MKE wako kichwani na kutembea sehemu zenye watu wengi kama sokoni
 
Utapata kibali cha kutembelea miezi mitatu, hiyo sio kwa gari zenye namba za Zanzibar pekee bali gari zote zenye namba za nje ya nchi ndio taratibu yaani wamecategorize Zanzibar kama nchi ya nje
 
Utapata kibali cha kutembelea miezi mitatu, hiyo sio kwa gari zenye namba za Zanzibar pekee bali gari zote zenye namba za nje ya nchi ndio taratibu yaani wamecategorize Zanzibar kama nchi ya nje

Process zake zikoje?
 
Back
Top Bottom