Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Jipe moyo, wengi walianza kwa shida na wakatoboa. Uwe tu na nidhamu ya pesa.
Kumudu inategemea unaishi eneo gani! Kwa kinondoni hutaweza ila kwa Ilala walau unaweza na kwa Temeke ndio uhakika kabisa😅Tafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Temeke to be exact na baadhi ya maeneo ya IlalaVyumba vya Elfu 30 vinapatikana upande gani Dar?!
Umeme wa February Makatani unaaminika!!?Mshumaa wa nini tenaa
Watu mnajua sana ku comment na kichekesha watu mpaka tunaonekana machizi.kama ni kiboro dinda iyo mb<><> weka kufuli
utakula mawe, Dar totoz kila kona, pesa yako tu
Mimi pia niliwahi ishi dar for 2 years bila kazi huku nimepanga nyumba nalipa laki 3 kwa mwezi.Mimi sina mshahara lakini naishi Dar vizuri tu
Kuna kale ka msemo kuwa biashara zote zinalipa ila tu ukiwa unasimuliwa. Kafanye sasaUtaishi tena maisha ya amani sanaaa, kuliko hata mwenye take home ya zaidi ya 5k aloko dsm
nakutabiria utatoboa maisha hadi utakuja kutuelimishaaa
pia anzisha kabiashara ka kuuza karanga apo utakapoishi na nyingine peleka ofisini wauzie wenzioo ... kg = 3500 (brand nzurii) ukifunga kwa mifuko na kuongeza thamani kwenye kg 1 utapata faida ya buku 2.
2000*21 (siku za kazi) = 40,000 --- hiii inakutosha matumizi madogomadogo
hahaaaa welcome bongo landiii
Analeta usaniiApate 300,000 na saving iwe 270,000!! Matumizi kwa mwezi 30,000 meaning
- Hali dinner assuming anapewa chakula kazini
- Hanywi maji
- Hanunui sabuni
- Hanunui mafuta ya kujipaka
- Hanunui vocha ya simu
- Hanunui mshumaa
- Nauli
Ulikuwa Una lipa au unalipiwa?Mimi pia niliwahi ishi dar for 2 years bila kazi huku nimepanga nyumba nalipa laki 3 kwa mwezi.
Hahahahah noma baab uliuza sana utu for a living?Mimi pia niliwahi ishi dar for 2 years bila kazi huku nimepanga nyumba nalipa laki 3 kwa mwezi.
Acha tu mkuu, nilikuwa sijui stress maana yake ni nini. Ushauri wa wengi ulikuwa toka kwenye hiyo nyumba kapange chumba cha elfu hamsini kwanza ili ujipange. Fikiria kutoa vitu vyako kwenye nyumba ya laki tatu ambavyo ni vyingi unde kuvipanga kwenye chumba cha 50, haya maisha hayaHahahahah noma baab uliuza sana utu for a living?
Nalipa mwenyewe kwa mishe zangu. Tena mwenye nyumba anataka kwa miezi sita. Amini kila jambo linawezekana ila tu kama ukikaza na ukaze kwelikweliUlikuwa Una lipa au unalipiwa?
Vipo vyumba hadi vya efu 15 bila umemeShukrani sana bro
ukiweza ku dhibiti 'nyege' niamini mimi una save zaidi ya 90% ya 'mshahara' wako
Ukiuzoea mji unakutana ma auntie wenye nyumba zao lakini hawana company. Hapo mshahara wako utatosha hata kuishi Masaki.