Mkuu inaonekana unakauzoefhahah wale wachafchaf wa Tandika, daaah bora puli aisee, mtoa mada usimsikilize huyu, anakupoteza
Karibu Dar kila kitu kipo kasoro akili tu, sasa urogwe uje bila akili ndio utajua hujuiTafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Wa kufanyia meditationMshumaa wa nini tenaa
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile...Dsm kwa laki unaweza kuishi Ila labda uwe na sehemu ya kuishi bure iyo pesa uielekeze kwenye chakula tu na nauliTafadhali Husika na kichwa Cha Uzi Huu.
Mimi ni Job seeker, nimepata kibarua Cha laki tatu Dar es Salaam. Sijawahi kufika Dar ila nasikia maisha ya huko ni Magumu kwa sababu ya bei ya vyakula, Pango na Usafiri. Naomba kuuliza, kwa kiasi hicho tajwa, nitamudu maisha ya Dar?!
Ahsante.
Wako wengi tu wanaishi Dar kwa chini ya kipato hicho. Acha woga, maisha ni mapambano.Nikiweka kufuli nitaweza kuishi dar kwa mshahara huo?!😅
Mbona nimeishi kwa 3,000,000/! tu take home!!Hapo hakuna over time, hapo nilikuwa na Diploma! na sasa 14 M. Jiwe kapunguza weee!! nikaachana na sirikali yao! na sasa niko juu zaidi!
Unamaanisha kwa sasa unakula 14 millions kwa mwezi?!Mbona nimeishi kwa 3,000,000/! tu take home!!Hapo hakuna over time, hapo nilikuwa na Diploma! na sasa 14 M. Jiwe kapunguza weee!! nikaachana na sirikali yao! na sasa niko juu zaidi!
Duuu kweli wengine tulikuja kusindikiza auMbona nimeishi kwa 3,000,000/! tu take home!!Hapo hakuna over time, hapo nilikuwa na Diploma! na sasa 14 M. Jiwe kapunguza weee!! nikaachana na sirikali yao! na sasa niko juu zaidi!
Umsindikize nani mikono mitupu ivo???? mweee!! sema hivi nyie watazamaji tu mtapenyea wapi????!! BOT. Bandari. Tazara nk acha kabisa!! RTC ya zamani hivi unajua ipo??