Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,365
Reaction score
100,406
Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.

Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali?

Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.

Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Umesahau 2.4 trilion iliyopotea bila majibu
 
Back
Top Bottom