Mazuri yake yamesemwa sana katika vipindi vya TBC "Kishindo cha awamu ya 5".Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya
Baniani mbaya kiatu chake dawa
Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli[emoji120]
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji3531]
Acha mapambio mtu huvuna alichopandaWanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya
Baniani mbaya kiatu chake dawa
Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli[emoji120]
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji3531]
Kumbe huwa unaangalia na kusikiliza TBC😅😅Mazuri yake yamesemwa sana katika vipindi vya TBC "Kishindo cha awamu ya 5".
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kama like liwaziri la madini kalitoa Geita limekaa kipigajiMajambazi wenzake ukiangalia teuzi zake za sector muhimu aliwaweka watu anaowajua in and out ili apige deal zake vizuri. Walitumbuliwa wale waliopiga bila ya kuwa na baraka kutoka kwake.
Tamisemi wameumiza sana watumishi katika uhamisho, wamepiga sana kwa tiketi ya kusitisha uhamisho mpaka kibali.Wenye hela tu ndio walihama.Sijui Jafo analijua hilo!!Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.
Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali? Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.
Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?
We dada wa kisukuma usituletee matusi humu nenda Facebook ukatukane wahuni wenzioBiashara ya kisamvu unaifanya wewe unayelazimisha wanaume kukupaku
Hebu tulizana basiiiiiiii
Au ndio uko kwenye kujitangaza??
Seeikali ya chama cha mapinduzi iko imara miaka100Acha mapambio mtu huvuna alichopanda
Sawa ongeza mingine 9900Seeikali ya chama cha mapinduzi iko imara miaka100
Hawa watu tuwaonee tu hurumamnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.
Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......
jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.
mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Sawa mkereketwa nimeipataPata fleva
Makada gani hao walikua wanagawana fedha za walipa kodiHawa ndio waliodhibiti rushwa kwenye serikali ya Wanyonge, hapa inasemekana ni nyumbani kwa kiongozi wa taasisi ya kiserikali kwenye nchi ya Wanyonge, hili haliwezi kuzungumzwa wala kusemwa popote na wazalendo wa CCM. Ukitaja mambo kama haya utatukanwa
View attachment 1738613
jana hio, huko kwenu dar yaani mtu kanunua shangazi kaja kaweka mzigo humoMakada gani hao walikua wanagawana fedha za walipa kodi
Uschokijua nikwamba hii report ya ceij ni ya mwaka 2019/2020, kwhyo zilipigwa wkt bado yuko machozilizopo tu zimeshapoza uhalali wa kumlaumu meko.
maana amelala ndipo watu wanafanya yao.
Uschokijua nikwamba hii report ya ceij ni ya mwaka 2019/2020, kwhyo zilipigwa wkt bado yuko machozilizopo tu zimeshapoza uhalali wa kumlaumu meko.
maana amelala ndipo watu wanafanya yao.
CAG ameonyesha kuna ubadhilifu wa 3.6Bmnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.
Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......
jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.
mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.