Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Mtaani Kuna chalii kaiba kuku kapigwa miaka 30 jela, hao wazee waliopiga 3B na hao wa 180B had sahiv wako mtaan tu kweli dunia haina usawa hii shenz kabisa
Yaan ningepewa rungu miaka10 ndan bla kusklza kesi zao akili iweweseke kwanza wajue mitaa inaptia nn, hakuna kubembelezana
 
tunakataa kudhinisha kilimo cha bange wakati sehemu kubwa ya viongozi wanalivuta.....swali wanaitoa wapi????Naipenda Tanzania....
 
Ukweli awamu ya almarhumu upigaji ulitoka kwa wengi, ukawa kwa kigegenge cha watu wachache.
 
Back
Top Bottom