Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya

Baniani mbaya kiatu chake dawa

Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿♥️

Hata wanaosema mazuri pekee bila kutaja mabaya ni Wanafiki.
 
Kanda ya ziwa kweli [emoji780]. Sema Chato . Kanda ya ziwa imebeba Kagera, Mara , Simiyu, Shinyanga, Mwanza na Geita.

Odhis *
Angalau mlibahatika nyie Wa hiyo kanda kupata vyeo,kwani kigwangala ni wachato mkuu,au kange lugola,au Wilson mahera .alichoangalia yeye unatoka kanda pendwa.

Huku kwetu aliyefaidika ni Sir buyer tu mkuu.
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.

Ile trilioni 1.5 tano umeisahau au unajitoa ufahamu??
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Tulia kwanza hiyo miradi yake ya matrillion ianze kuchunguzwa ndo tutajua. Anyway, hivi ile Trillion 1.5 iko wapi?
 
Sina mwanamke takataka kama wewe.


Kajiuze Barabarani ng'ombe wewe.
Sasa mwanamke gani atakubali kuwa na mwanamke mwenzie tena asiyejiewa kama wewe
Endelea kutumika tuu tunajua wewe sio rizki ila acha gubu
 
Njoo tukupunguze hizo nyege we Bibi Bomba inaonesha hufikishwi kibo.

Niko kamili na nimekalishwa, Pimbi kama wewe kocho huna msaada kwangu
Halafu una vijitabia vya mkemwenza tena yule asiye na viwango vya kuwa mke
 
Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.
Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali? Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.

Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?


Hebu kuwa mzalendo mkuu...marehemu hasemwi
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Wasukuma hawakuguswa kabisa kwenye ule utawala mfano MTU kama Andrew Chenge asingekua msukuma yan angekua kama mchaga mpare mhehe mhaya kwa maovu aliofanya angekoma angekua ndani kama malinzi !!! Hata hao wasukuma akina kakoko na wenzie walitunzwa na utawala
 
Ngoja siku ukute namtatua kisamvu bwana wako ndio utajua hujui.


Kichwa Kama embe bolibo bichi pumbavu.


Tangu Magufuli kafa mataga mmekuwa Kama vichaa mbwa wewe, kafanye kazi hayawani mkubwa wewe.

Biashara ya kisamvu unaifanya wewe unayelazimisha wanaume kukupaku
Hebu tulizana basiiiiiiii
Au ndio uko kwenye kujitangaza??
 
Aliyekuroga ni wewe mwenyewe kwa imani yako kwa yale yanayokupendeza wewe binafsi

Wacha kazi iendelee, tutaelewana tuu
Kwanini unanishambulia mimi na sio kujibu hoja? kwanini tusitumie tu common sense? Jibu hoja haya mambo ya mimi kurogwa tuyaache kwangu
 
Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.
Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali? Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.

Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?
All animals are equal but others are.....!!! Animal farm
 
Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.
Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali? Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.

Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?
Majambazi wenzake ukiangalia teuzi zake za sector muhimu aliwaweka watu anaowajua in and out ili apige deal zake vizuri. Walitumbuliwa wale waliopiga bila ya kuwa na baraka kutoka kwake.
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Umesahau trilion 11.5,zilizopelejea Assad kutolewa
 
Back
Top Bottom