Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

Je, Mwendazake hakupata kuyajua haya?

mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya

Baniani mbaya kiatu chake dawa

Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿♥️
 
Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya

Baniani mbaya kiatu chake dawa

Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli[emoji120]

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote [emoji7][emoji1241][emoji3531]
Mama D . Mabaya hufunika mazuri
Ni kanuni tu ya maisha

Odhis *
 
alikua anajua na hao ni vijana wake walikua wanafata maelekezo yake.
Sikuwahi kusikia akisema rushwa na ufisadi vimeisha; badala yake, just last year, aliwashangaa TAKUKURU wanaweza kuidhibiti rushwa ilhali wao wenyewe wana harufu ya rushwa!??? Je JPM alitangaza kusitisha ile huduma bora ya tumbuatumbua!??? Hilo nalo hamkusikia!??? Tunapolaumu, tufanye hivyo kwa akili, sawa!???
 
Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya

Baniani mbaya kiatu chake dawa

Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿♥️
Mabaya yapi? Hivi unafiki na chuki ni kuuliza? Kumbuka alikua Kiongozi na hakua mtu binafsi? Kwanini tukihoji tuitwe Wanafiki? Kwanini tusijibu hoja kwa hoja? Mimi nimeuliza, je hakuyajua haya? ndio swali langu, sasa haya mambo ya kuitana wanafiki na roho mbaya yanatoka wapi?
 
Wanaomsema Hayati kwa mabaya pekee bila kuyaona mazuri yake ni wanafki, wenye chuki, ubinafsi na roho mbaya

Baniani mbaya kiatu chake dawa

Pumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli🙏

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍🇹🇿♥️
Heri yenu nyie kanda ya ziwa MNA mazuri ya kumwandika marehemu,huku kaskazini hatuna mazuri ya kumuenzi,huku mpaka shule za kusaidia mayatima sirikali ilipita na hela za wafadhili wao.
 
Mabaya yapi? Hivi unafiki na chuki ni kuuliza? Kumbuka alikua Kiongozi na hakua mtu binafsi? Kwanini tukihoji tuitwe Wanafiki? Kwanini tusijibu hoja kwa hoja? Mimi nimeuliza, je hakuyajua haya? ndio swali langu, sasa haya mambo ya kuitana wanafiki na roho mbaya yanatoka wapi?

Sio chuki tuu, unauliza kwa chuki kuu

Naomba niishie hapo
 
Heri yenu nyie kanda ya ziwa MNA mazuri ya kumwandika marehemu,huku kaskazini hatuna mazuri ya kumuenzi,huku mpaka shule za kusaidia mayatima sirikali ilipita na hela za wafadhili wao.

Tutaelewana tuu mkuu, tena kabla ya huu mwaka kupinduka
Tuombeane tuu uzima
 
Sio chuki tuu, unauliza kwa chuki kuu

Naomba niishie hapo
Kwanini useme nauliza kwa chuki na wewe haujibu kwa chuki? Tujibu hoja tuache kushambulia watoa hoja. Chuki ya nini? Kwahio kila anayehoji ana chuki? Sijui nani katuroga
 
Heri yenu nyie kanda ya ziwa MNA mazuri ya kumwandika marehemu,huku kaskazini hatuna mazuri ya kumuenzi,huku mpaka shule za kusaidia mayatima sirikali ilipita na hela za wafadhili wao.
Kanda ya ziwa kweli [emoji780]. Sema Chato . Kanda ya ziwa imebeba Kagera, Mara , Simiyu, Shinyanga, Mwanza na Geita.

Odhis *
 
Kwanini useme nauliza kwa chuki na wewe haujibu kwa chuki? Tujibu hoja tuache kushambulia watoa hoja. Chuki ya nini? Kwahio kila anayehoji ana chuki? Sijui nani katuroga

Aliyekuroga ni wewe mwenyewe kwa imani yako kwa yale yanayokupendeza wewe binafsi

Wacha kazi iendelee, tutaelewana tuu
 
mnaandika sana mpaka mnaharibu sasa.

Escrow 360bln
richmond 250 ml/24hrs
EPA.......

jamaa yetu wa bandari kashikwa na 3.4bln,baada tu ya mzee kufariki,na wale jamaa walitaka kuhepa na 180bln baada ya mzee kufariki.
meko ataendelea kibaki na sifa kwamba hakuwa kiongozi wa kulea ujinga ujinga,hata iweje.

mpaka sasa swala linalomake sense ni la ATL peke yake,ambalo napo aliambiwa mapema tu.
Umesahau tembo walivyokua wanapukutika kwa kasi ya 5G, madini ndo usiseme.... Sema watz hatuna shukrani tusharogwaga
 
Nimejiuliza tu kwa wema na sio kwa ubaya.
Inawezakanaje mtu ambaye alikua anasikiliza hadi simu za watu na kujua yanayozungmzwa akakubali kudanganywa juu ya Ufisadi uliotamalaki kila mahali? Nilipata kusema kuwa, Rushwa ya kipindi hiki cha "Mitano tena" ilikua kubwa na ya wazi wazi kuliko kipindi chochote kile. Mifano iko mingi sana ila waliochukuliwa hatua huenda walihukumiwa based on ukabila, ukanda na uchama.

Na kama aliyajua haya, kwanini hakuwahi kuwachukulia hatua?
Rushwa ilikuwa kubwa sana yani ..kuzuia uhamisho wa watumishi tu kulitengeneza rushwa kubwa sana paleTAMISEMI
 
Back
Top Bottom