Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

JaffarMohammed

JF-Expert Member
Nov 13, 2016
763
279
Habari zenu wana JF Poleni na Mihangaiko ya Dunia hii.

Okay leo nina swali kuhusu suala la siku ya kufufuliwa wanadamu wote. (Kwa wale wanaoamini kua baada ya kifo kuna siku ambayo tutafufuliwa)

Ningependa kufahamu

Je mwanadamu atafufuliwa akiwa na umri Gani?

kama atafufuliwa na umri aliokufa nao je wale wabibi ambao wamekufa hawaoni, hawana meno, wanajisaidia vitandani vipi watafaidi huko peponi?

Na je mtoto mchanga akifufuliwa hivyo hivyo nae atafaidi vipi ufalme wa mbinguni?

Asanteni.

c3cc96485cee8ffd6ca6ee0c73532b78.jpg
 
Ulivyokufa ndivyo utafufuliwa.ila wapo watakaofufuliwa kwa maumbo tofauti tofauti.ila umri ule ule.
 
Habari zenu wana JF Poleni na Mihangaiko ya Dunia hii.

Okay leo nina swali kuhusu suala la siku ya kufufuliwa wanadamu wote. (Kwa wale wanaoamini kua baada ya kifo kuna siku ambayo tutafufuliwa)

Ningependa kufahamu

Je mwanadamu atafufuliwa akiwa na umri Gani?

kama atafufuliwa na umri aliokufa nao je wale wabibi ambao wamekufa hawaoni, hawana meno, wanajisaidia vitandani vipi watafaidi huko peponi?

Na je mtoto mchanga akifufuliwa hivyo hivyo nae atafaidi vipi ufalme wa mbinguni?

Asanteni.

c3cc96485cee8ffd6ca6ee0c73532b78.jpg
[/QUOTE

Ukweli ni-HAKUNA ANAEJUA.
Bali utasikia dhana tu .Elimu ya hayo anayo mungu pekee.
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Nimependa ulivyofanya reference ya Kitabu cha Mathayo.
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Wewe utakuwa mpinga kristo.
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.

Read the Bible with still mind and clear consciousness, then the spirit will touch your understanding and you will know that John the disciple has never really tested death!
 
Back
Top Bottom