Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

maswali kama hayo kuna mtu aliwahi kumuuliza YESU ikiwa mjane akiolewa mbinguni atakuwa mke wa nani?
Mambo mengine tumefugwa ni siri za MUNGU usitake kujua kila kitu haiwezekani.
Kuna mtu mwingine nilimwambia mbinguni tutakuwa na miili mipya yaani smart body,alifurahi sana akaniambia kumbe si yeye atakaye chomwa so ngoja aendelee kula maisha
 
Of course it would be absurd assuming that someone is dead just because you don't know where he is, but it's crazy believing that man could stay alive for more than 2000 years.[/
Yes, it would be crazy, but crazy is not impossible! Though crazy, but not impossible
 
I don't know where you are, but it would be absurd for me to presume that you are not alive simply because I don't know where you are!
Kizungumkuti cha jibu kwa faida ya nani?
Mwenziyo kakushangaa na kukuuliza juu ya usemi wako kuwa Yohana hajaonja kifo, kwamba, hadi leo anaishi, je anaishi wapi?
Eti unamjibu kuwa yeye unayechati nae hauelewi anapoishi. Hivi unapokuwa unabadilishana mawazo na binadamu "kabila yako" halafu anakugeuka kwa mtindo wa kiuwendawazimu, hapo shetani anakuwa amewawaingilia? Ama unaweza ukatafsirije kwa mfano?
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Cjuh kwann watu bado wanaendelea kuamini in such nosense...... Ufe ufufuke hata haiingii akilini
 
Kizungumkuti cha jibu kwa faida ya nani?
Mwenziyo kakushangaa na kukuuliza juu ya usemi wako kuwa Yohana hajaonja kifo, kwamba, hadi leo anaishi, je anaishi wapi?
Eti unamjibu kuwa yeye unayechati nae hauelewi anapoishi. Hivi unapokuwa unabadilishana mawazo na binadamu "kabila yako" halafu anakugeuka kwa mtindo wa kiuwendawazimu, hapo shetani anakuwa amewawaingilia? Ama unaweza ukatafsirije kwa mfano?
Huyo jamaa hana point hana tofauti na wale wanaosemaga ukimdiskasi mungu utapigwa na ugonjwa ukalale hospital hujitambui........

Mpk unakaa unafikiri wagonjwa wote wamemkosea huyo mungu au?????

Kina lusekelo wanafikia stage ya kutishia watu kifo kwa kuntumia huyo huyo mungu
 
I don't know where you are, but it would be absurd for me to presume that you are not alive simply because I don't know where you are!
b73b9a57a06b43a6d0162c7ddb053075.jpg
 
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Kabla hajafa au hajapaa!? Yesu alonekana maeneo kadhaa duniani baada ya kifo chake.
 
Habari zenu wana JF Poleni na Mihangaiko ya Dunia hii.

Okay leo nina swali kuhusu suala la siku ya kufufuliwa wanadamu wote. (Kwa wale wanaoamini kua baada ya kifo kuna siku ambayo tutafufuliwa)

Ningependa kufahamu

Je mwanadamu atafufuliwa akiwa na umri Gani?

kama atafufuliwa na umri aliokufa nao je wale wabibi ambao wamekufa hawaoni, hawana meno, wanajisaidia vitandani vipi watafaidi huko peponi?

Na je mtoto mchanga akifufuliwa hivyo hivyo nae atafaidi vipi ufalme wa mbinguni?

Asanteni.

c3cc96485cee8ffd6ca6ee0c73532b78.jpg
Soma kitabu cha Mathayo mtakatifu, Luka, Marko na Yohana ,,,,utapata majibu ya maswali yako yote.
 
Kuna Hoja moja ilisema "kama alikufa kipindi hicho Cha zama za kalee hata thubutu kurudi enzi hizi za Nyukili"
 
Back
Top Bottom