Kijana acha kuongea vitu ambavyo vimekuja tu kichwani kwako, ni wapi Allah alisema "bishaneni nao na wakitaka kuwashinda wafisheni?" unaweza kuthibitisha hilo?
Acha kuongea kama mtoto wa darasa la pili, kama hujui kitu ni bora ungeficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
Weye usojua hata Alifa ba tee ndo uufiche uso wako. Sibishani na maamuma!