Je, Mungu ana sura gani?

Kijana acha kuongea vitu ambavyo vimekuja tu kichwani kwako, ni wapi Allah alisema "bishaneni nao na wakitaka kuwashinda wafisheni?" unaweza kuthibitisha hilo?

Acha kuongea kama mtoto wa darasa la pili, kama hujui kitu ni bora ungeficha ujinga wako kwa kukaa kimya.

Weye usojua hata Alifa ba tee ndo uufiche uso wako. Sibishani na maamuma!
 
Weye usojua hata Alifa ba tee ndo uufiche uso wako. Sibishani na maamuma!

Hii sura ya Kafirun iko wazi kabisa kua Allah hakumuagiza mtume Muhammad SAW kulazimisha mtu kuamini, wewe unatuletea mambo ya kitoto hapa eti bishaneni wakiwashinda wafisheni? Umepata wapi hayo maneno? Weka uthibitisho hapa acha kurukaruka kama Kangaroo.

Surah 109



Bismillaah ar-Rahman ar-Raheem
Qul yaa ayyuhal kaafiruun
Laa ‘abudu maa t’abuduun
Walaa antum ‘aabidunna maa a’abud
Walaa ana ‘aabidun maa ‘abadttum
Walaa antum ‘aabiduuna maa a’abud
Lakum deenukum wa liya deen

In the name of Allah, the Beneficent, the Merciful.
Say: Oh you who turn away
I do not worship what you worship,
nor do you worship what I worship.
And I will not worship what you worship,
Nor will you worship what I worship.
Your way is yours, and my way is mine
 
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Anasura ya Mungu
 
Chukua kioo kisha jione Kwisha habari yako. Mambo mengine msiwe mnaandika humu bhana
 
Ukimwazia anachoma watu basi utachomwa. ..Ukimwazia anabariki watu unabarikiwa tu hamna namna. ..
Usiniletee mikwara mbuzi....ungejibu kwanini anachoma watu moto badala ya kusamehee wakati mnadai ni mwingi wa huruma
 
Lam yalid, walam yuulad' walam yakul,lahuu kufuwan ahad.....

Yeye (Mungu) hakuzaa wala hakuzaliwa.... na wala hafanani na kiumbe chochote....
 
Hujajibu swali. Mungu ana sura ya rangi gani kati ya hizi 'race' za dunia hii?
Swali lako lako ulilouliza linahusiana na sura

Sura ya mzungu mwafrika muasia muamerica zote zinafanana
Isipokuwa tunatofautiana rangi

Sura zetu zinafanana
Hakuna aliye na sura ya kisogoni

Kuhusu rangi zetu hiyo ni mada nyingine
Ukipenda nayo tutaijadili
 
Mungu hajamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake. Huyu mwanadamu wa leo anayehalalisha ushoga? Huyu mwanadamu wa leo ambaye anaigiza filamu za ngono huku wakimlawiti mwanamke, mwanadamu huyu anayefanya unafiki katika ardhi ya Mwenyezi Mungu ndio awe mfano wa Mungu. Nimekataa. Hilo andiko linahitajika kifutwa
Leta andiko lako ujualo wewe
 
Someni kitabu cha kiislamu vizur mtamjua mungu ni nani kuna kila kitu humu kuhusu yeye na hautapata majibu sahihi pahali pengine zaidi ya humu
 
Amemuumba binadamu kwa sura na mfano wake wala sio kwa rangi na mfano wake, wazungu, Waarabu wachina Waafrika wote wana sura zinazofanana (ninapozungumzia sura simaanishi usoni bali umbo) ndo maana huwezi kukuta mzungu ana mikono sita kuliko Mwafrika au Mwarabu ana miguu kumi kuliko mchina
Ubarikiwe kwa kufunuliwa maandiko
 
Back
Top Bottom