Kuatana na maneno yako, Mungu ana sura nyingi? (Multiple Faces).Mkuu;
Ka swali lako ni kwa ajili ya kubishana basi utabishana saana. Lakini, ka swali lako ni kwa ajili ya kuelewa, ni kuwa. Mungu amefanana na wewe na mimi. Ndo maana wanasema; Binadamu wote sawa. Sasa ukitaka kuuliza tena Mungu ni wa kabila gani? Taifa gani, lugha gani, sidhani ka jf itaweza kupokea maneno yote.
Amini kuwa ulitokana na Mungu. 1 Yoh. 4 : 4, Amini kuwa wewe ni mali ya Mungu 1 Kop. 6 : 19...20. Yapo mengi ila pokea na uamini haya machache utafanikiwa.
Asikudanganye mtu kuwa kuna Mungu tofsuti na huyu aliye Hai, Muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo.
Anunnaki the createrMungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Mweusi kama mimi...Hujajibu swali. Mungu ana sura ya rangi gani kati ya hizi 'race' za dunia hii?
Na ni mwingi wa huruma. ...Mungu hajamuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake. Huyu mwanadamu wa leo anayehalalisha ushoga? Huyu mwanadamu wa leo ambaye anaigiza filamu za ngono huku wakimlawiti mwanamke, mwanadamu huyu anayefanya unafiki katika ardhi ya Mwenyezi Mungu ndio awe mfano wa Mungu. Nimekataa. Hilo andiko linahitajika kifutwa
Kuatana na maneno yako, Mungu ana sura nyingi? (Multiple Faces).
Mungu hana mfano na hana sura,unajuaje?Thibitisha.Mungu hana mfano na hana sura.
Mungu atakuwa anafanana na Waarabu kwa sababu Adam na Hawa waliumbiwa Uarabuni tena Iraq na waliwekwa kwenye bustani ya Eden ambayo iko huko.Ndiyo maana Waislamu wanasema Mungu ni mmoja tu wa Kiarabu(Allah)hakuna Mungu mwingine.Mkuu;
Ka swali lako ni kwa ajili ya kubishana basi utabishana saana. Lakini, ka swali lako ni kwa ajili ya kuelewa, ni kuwa. Mungu amefanana na wewe na mimi. Ndo maana wanasema; Binadamu wote sawa. Sasa ukitaka kuuliza tena Mungu ni wa kabila gani? Taifa gani, lugha gani, sidhani ka jf itaweza kupokea maneno yote.
Amini kuwa ulitokana na Mungu. 1 Yoh. 4 : 4, Amini kuwa wewe ni mali ya Mungu 1 Kop. 6 : 19...20. Yapo mengi ila pokea na uamini haya machache utafanikiwa.
Asikudanganye mtu kuwa kuna Mungu tofsuti na huyu aliye Hai, Muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo.
HahahaKwahiyo Mungu ni mwafrika.?
Musa ambaye alikuwa nabii hakuweza kumuona Mungu na wala hamjui. Sasa wewe unaaminishwa kirahisi rahisi bila kuhoji.Mungu hana mfano na hana sura,unajuaje?Thibitisha.
Zimeumbwa kama zilivyoumbwa sura za mbwa,Paka, kuku, dagàa na wengineoAlivyosema 'tumuumbe binadamu kwa sura na mfano wake alimuumba bila sura? Sasa hizi sura zetu zimetoka wapi?
Amemuumba binadamu kwa sura na mfano wake wala sio kwa rangi na mfano wake, wazungu, Waarabu wachina Waafrika wote wana sura zinazofanana (ninapozungumzia sura simaanishi usoni bali umbo) ndo maana huwezi kukuta mzungu ana mikono sita kuliko Mwafrika au Mwarabu ana miguu kumi kuliko mchinaMungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Waafrica tutoe maana hata kwenye mgawanyo wa mitume/manabii tulitengwaMungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k.
Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi hapa duniani? Ni mweusi au mweupe? Mwarabu au muasia?
Mungu atakuwa anafanana na Waarabu kwa sababu Adam na Hawa waliumbiwa Uarabuni tena Iraq na waliwekwa kwenye bustani ya Eden ambayo iko huko.Ndiyo maana Waislamu wanasema Mungu ni mmoja tu wa Kiarabu(Allah)hakuna Mungu mwingine.
Kijana acha kuongea vitu ambavyo vimekuja tu kichwani kwako, ni wapi Allah alisema "bishaneni nao na wakitaka kuwashinda wafisheni?" unaweza kuthibitisha hilo?Aksante sana kwa uelewa wako mfinyu ka kichwa cha sindano. Hayupo wala hatakuwepo mungu wa jinsi hiyo. Wala hajawekewa mpaka na alicho kiumba.
Wewe huwezi kumuwaza Mungu wala kumwelewa. Huyo mungu wa kiarabu, sidhani kama ndiye anayestahili kuabudiwa. Na hapa si mahali pa kubishania nao kwani huyo mungu wao aliwaambia, bishaneni nao na wakitaka kuwashinda, wafisheni. Je huyo ndo Mungu wa kuabudiwa?? Nina mashaka mengi naye.