Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 19,641
- 14,248
Bwanakunu kiumri ni mkumbwa kuliko Ummy Mwalimu. Sasa sijui Serengeti Boy ni nani hapo!
Yaani umepotea mno. Uzi za watu wenye majungu hutaja kabila, dini ya mtu na hata mahusiano. Kuna wakati you have to man up. Hivi kukataa deni wakati lipo sio kupindisha ukweli? Hivi kukiri kwamba Sheria ya manunuzi kupitia taratibu zake ndefu imetengeneza ukiritimba, unapungukiwa nini? Using'ang'ane na chaka la halmashauri. Hata km una chuki zako ni vyema utende haki.
Hapa umedhihirisha kuwa analysis yako imejikita kwenye majungu zaidi.
Vituo si vilikuwa vinadaiwa au hujui?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa utambuzi wangu mimi na ufahamu wangu yupo pale kwa sababu maalumu
Then wa Tz wengin wanaon kam mh.Raisi anafany maamuz kwa haraka No.
No mh. Huw anafany vtu(kwasababu za mcng) na kwa faidi na kwa maslai ya Taifa sio kwa faid ya mtu
NB:-mbele tutaelewa hapo pana jambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali kudaiwa na MSD siyo kitu kigeni. Madeni yapo tangu mwaka 2000, Serikali inalipa na inaendelea kukopa na maisha yanaendela.Serikali inadaiwa shilingi ngapi na MSD?
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nchini (CAG) kwa mwaka ulioisha Juni 2019 imebaini kuwepo kuongezeka kwa deni la serikali kwa bohari kuu ya dawa (MSD) kwa kiasi cha Sh bilioni 16.18 kutoka Sh bilioni 37.48 za mwaka uliopita.Sasa kama hamjapelekewa pesa mnafanya nini hapo Keko Mwanga Madawa? Fungeni ofisi. Serikali imekuwa ikitoa pesa mara zote; mnapozipeleka mnajua nyie.
Kwanza MSD ni taasisi yenye umri zaidi ya Miaka 20 Na mnauza Dawa bado mnataka serikali iwape pesa kila siku.?
Shida hamjiongezi. Halafu mpunguze politics. Fanyeni kazi. Serikali haidaiwi na MSD na Ngosha alisema amewapa Bil 300 kwa ajili ya dawa; mmepeleka wapi hizo pesa?
Mk54
Serikali kudaiwa na MSD siyo kitu kigeni. Madeni yapo tangu mwaka 2000, Serikali inalipa na inaendelea kukopa na maisha yanaendela.
Kwa taarifa yako vituo vilivyo chini ya TAMISEMI (Yaani hospitali za Wilaya, Vituo vya afya na Zahanati) vinaidai MSD Tsh 27 Bilioni wakati nayo MSD imevikopesha Tsh 13 Bilioni. Sasa nani anamdai mwenzie nyingi?
Bwanakunu hakuwa na skills zozote za financial management wala business management. Yeye alichojuwa ni kuharass wafanyakazi, ngono, ufisadi na dharau. Amefanya manunuzi yaliyoua mtaji wa MSD
Alifanya manunuzi gani hayo?Serikali kudaiwa na MSD siyo kitu kigeni. Madeni yapo tangu mwaka 2000, Serikali inalipa na inaendelea kukopa na maisha yanaendela.
Kwa taarifa yako vituo vilivyo chini ya TAMISEMI (Yaani hospitali za Wilaya, Vituo vya afya na Zahanati) vinaidai MSD Tsh 27 Bilioni wakati nayo MSD imevikopesha Tsh 13 Bilioni. Sasa nani anamdai mwenzie nyingi?
Bwanakunu hakuwa na skills zozote za financial management wala business management. Yeye alichojuwa ni kuharass wafanyakazi, ngono, ufisadi na dharau. Amefanya manunuzi yaliyoua mtaji wa MSD
Wewe umekuwa si mzushi tu bali ni muongo.Serikali kudaiwa na MSD siyo kitu kigeni. Madeni yapo tangu mwaka 2000, Serikali inalipa na inaendelea kukopa na maisha yanaendela.
Kwa taarifa yako vituo vilivyo chini ya TAMISEMI (Yaani hospitali za Wilaya, Vituo vya afya na Zahanati) vinaidai MSD Tsh 27 Bilioni wakati nayo MSD imevikopesha Tsh 13 Bilioni. Sasa nani anamdai mwenzie nyingi?
Bwanakunu hakuwa na skills zozote za financial management wala business management. Yeye alichojuwa ni kuharass wafanyakazi, ngono, ufisadi na dharau. Amefanya manunuzi yaliyoua mtaji wa MSD
Sio Rahisi. Anatakiwa kuwa very careful. Mimi nashauri ile Bodi ya wakurugenzi ivunjwe halafu aangalie watu ambao atafanya nao kazi.
Mk54
Issue unashutumu bila shuhuda.Pole. Ila kwa bahati mbaya hii sio mada ya analysis wala masomo ya logistics.
Wala sio mada ya Demand and Planning wala sizungumzii Supply.
Lakini kama itakupendeza, unaweza kufungua uzi wako na kuyaandika hayo uliyoyapendekeza. Itapendeza zaidi kaka.
Nakushukuru sana mkuu.
Mk54
Bodi bado mpya atoe baadhi ya watu top menejiment kwani wengine wapo kwenye ukurugenzi kwa miaka zaidi ya 8 wanafanya kazi kimasihara kimazoea hakuna tena input kama huyo mkurugenzi rasilimali watu sanaa sanaaa tu na ndiye amekuwa mwenyekiti wa tenda zote msd, auditing wana mzee mkurugenzi ambaye hana input tena anashauri watu kufukuzwa kwenye sehemu ambazo kashindwa controls, ICT bado mfumo una contradict mno hadi una leta loss ambazo hata wenyewe ngumu kuelewa,wana lack competent and technical persons , before kulikuwa Wakina henry mchunga huyu mtaalam wa afya manunuzi na ugavi experienced kwenye sector , shabana Hussein finance technically alikuwa super, etc sasa ivi wengi mbahatishaji tu, HR ina watu wasiosaidia taasisi wanafanya mambo shaghala bagala kufavour watu waoSio Rahisi. Anatakiwa kuwa very careful. Mimi nashauri ile Bodi ya wakurugenzi ivunjwe halafu aangalie watu ambao atafanya nao kazi.
Mk54
Haina tatizo Brigardier General kuwa CEO MSD kwa kuwa Jeshi ndiyo most efficient logisticans all over the world
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anakingiwa kifua na UMMY Mwalimu na Bashiru AllyNa Watu wanao harass wafanyakazi sio watendaji. Nadhani ni njia yao ya kuonekana ni watendaji. Yani ninashangaa hadi kesho amewezaje kukaa 5 years na hali ipo vile.
Mk54
Tafuta mtu wa MSD yeyote muulize hata messenger au dreva anajuwa hiliAlifanya manunuzi gani hayo?
HIzi tuhuma za ngono nazo ni mpya.
Weka data zako hapa tusibishane bila sababu. Numbers don't lieWewe umekuwa si mzushi tu bali ni muongo.
Bahati mbaya data zako ni za uongo. Hii ni purely chuki
Upo pale MSD?Je ni rushwa ya ngono?Tafuta mtu wa MSD yeyote muulize hata messenger au dreva anajuwa hili
Ndiyo soma thread kuanzia mwanzo utapata majibu ya swali lakoUpo pale MSD?Je ni rushwa ya ngono?