Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,958
- Thread starter
- #21
Na kama ana kadi ya CCM ndo kabisaaaa anakua amepoteza akili tusubirie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh
Mk54
Na kama ana kadi ya CCM ndo kabisaaaa anakua amepoteza akili tusubirie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa macho tiki, bado kwa vitendo.Ni kweli MSD au GPSA sio taasisi rahisi kabisa, ni ngumu na zina temptation nyingi sana na ni rahisi sana kutumika na wanasiasa wa juu. Ikiwemo na Waziri mwenyewe.
Ndio maana wengi wanashauri, kama Bwanakunu ameondolewa, basi kuna haja ya Ummy mwalimu nae kuchunguzwa maana kuna mengi yanasemwa chinichini juu ya wawili hawa. Isipuuzwe hata kidogo.
Mradi wa Delivery Pack alizokuwa anazitangaza Bwanakunu, ni mradi wa mtu binafsi kwa kushirikiana na Bahari Pharmacy na asilimia 90 ya vituo vya Afya walikuwa hawataki kabisa lakini ilikuwa ni lazima upewe na utozwe pesa kupitia akaunti yako kwa barua ya Ummy mwalimu.
Aidha, Ummy Mwalim na Bwanakunu na katibu Afya Dr. Zainabu wamefeli sana katika suala zima laCOVID 19. Wao ndio sababu ya Watz kupigwa kwenye Sanitizer na Barakoa.
Ummy anaonekana yupo busy lakini hajulikan yupo busy na nini!! Kazi ya kuwachunguza maabara amepewa Mwigulu, badala yake yeye Ummy kwa kujihami ndio kaenda kuunda tume . Hii yote ni ishara kwamba huyu mtu sio sahihi kwenye wizara kubwa kama hiyo. Anazunguka tu kama mbwa koko aliyekosa mfugaji. So sad.
Nimeridhika na uteuzi wa JPM juu ya Gabriel, kwanza ni Doctor( japo ilitakiwa awe Pharmacist lakini tofauti ni ndogo sana).
Nina elewa kwa undani nidhamu ya wanajeshi, tazama hiyo picha utaelewa ninachomaanisha.
View attachment 1440740
pamoja na hilo Brigedia atambue kwamba haitokuwa rahisi kuongoza taasisi kama MSD, haitokuwa rahisi hata kidogo, MSD ni taasisi yenye malalamiko na utendaji mmbovu kuwahi kutokea. Tangu na Tangu na kabla hata ya Bwanakunu.
View attachment 1440741
Kwa uzoefu wangu wa Global Health Supply Chain, nina mshauri yafuatayo ndugu Brig. General Dr Gabriel Mhidize;
1. Apendekeze kupanguliwa safu ya wakurugenzi, hasa Kurugenzi ya Ugavi, Kurugenzi ya Manunuzi na Kurugenzi ya Rasilimali watu. Akiendelea kufanya kazi na wakurugenzi hao, atatumbuliwa mapema kabisa
2. Akae na wakongwe wa MSD secretly wamsaidie kujua wale wote wanaohusika na dili fake; akishawajua awafanyie auditing pamoja na kuwahamisha au kuwasimamisha kazi.
3. Managers wa kanda, hawa ndio tatizo kubwa; Na hawa hawa ndio ninavyodhani wamemuangusha Bwanakunu,
View attachment 1440743
wachunguzwe Wote ikiwezekana tafuta watu utakaoweza kufanya nao kazi
4. Pata muda wa miezi 6 kusoma supply chain ya MSD, hili ni muhimu sana ili wasije kukuambukiza udokozi
5. Usiwe mtu wa kukaa ofisini tu, Tembelea ghala zote mara kwa mara na uwasikilize kwa makini watendaji wa warehouses, hao ndio wanamajibu sahihi ya MSD.
6. Malalamiko ya watu kuajiriwa kwa kujuana na kwa connections bila kufuata utaratibu wa utumishi usiyapuuze
7. Kuwa karibu na Hospitali zote kubwa nchini Tanzania
8. kuwa makini sana na documents. Huenda waliomtoa Bwanakunu ni watu wa Bwanakunu.
View attachment 1440745
9. Weka macho sana warehouse , Finance na Manunuzi. Hiyo ndio MSD .
Hapana mapenzi kazini. Ni wazi Bwanakunu alifelishwa pia katika hili
Ninaamini Utaweza na sina shaka juu ya Uteuzi wako.
Nidhamu yenu huonekana hadi kwenye picha.
View attachment 1440746
Nitumainie kuona mabadiliko ya namna hii yafanyike na GPSA.
View attachment 1440740
Chanzo cha picha- MSD social media, nipashe online.
Tarehe 5, Mei 2020.
Mk54
Ni kweli MSD au GPSA sio taasisi rahisi kabisa, ni ngumu na zina temptation nyingi sana na ni rahisi sana kutumika na wanasiasa wa juu. Ikiwemo na Waziri mwenyewe.
Ndio maana wengi wanashauri, kama Bwanakunu ameondolewa, basi kuna haja ya Ummy mwalimu nae kuchunguzwa maana kuna mengi yanasemwa chinichini juu ya wawili hawa. Isipuuzwe hata kidogo.
Mradi wa Delivery Pack alizokuwa anazitangaza Bwanakunu, ni mradi wa mtu binafsi kwa kushirikiana na Bahari Pharmacy na asilimia 90 ya vituo vya Afya walikuwa hawataki kabisa lakini ilikuwa ni lazima upewe na utozwe pesa kupitia akaunti yako kwa barua ya Ummy mwalimu.
Aidha, Ummy Mwalim na Bwanakunu na katibu Afya Dr. Zainabu wamefeli sana katika suala zima laCOVID 19. Wao ndio sababu ya Watz kupigwa kwenye Sanitizer na Barakoa.
Ummy anaonekana yupo busy lakini hajulikan yupo busy na nini!! Kazi ya kuwachunguza maabara amepewa Mwigulu, badala yake yeye Ummy kwa kujihami ndio kaenda kuunda tume . Hii yote ni ishara kwamba huyu mtu sio sahihi kwenye wizara kubwa kama hiyo. Anazunguka tu kama mbwa koko aliyekosa mfugaji. So sad.
Nimeridhika na uteuzi wa JPM juu ya Gabriel, kwanza ni Doctor( japo ilitakiwa awe Pharmacist lakini tofauti ni ndogo sana).
Nina elewa kwa undani nidhamu ya wanajeshi, tazama hiyo picha utaelewa ninachomaanisha.
View attachment 1440740
pamoja na hilo Brigedia atambue kwamba haitokuwa rahisi kuongoza taasisi kama MSD, haitokuwa rahisi hata kidogo, MSD ni taasisi yenye malalamiko na utendaji mmbovu kuwahi kutokea. Tangu na Tangu na kabla hata ya Bwanakunu.
View attachment 1440741
Kwa uzoefu wangu wa Global Health Supply Chain, nina mshauri yafuatayo ndugu Brig. General Dr Gabriel Mhidize;
1. Apendekeze kupanguliwa safu ya wakurugenzi, hasa Kurugenzi ya Ugavi, Kurugenzi ya Manunuzi na Kurugenzi ya Rasilimali watu. Akiendelea kufanya kazi na wakurugenzi hao, atatumbuliwa mapema kabisa
2. Akae na wakongwe wa MSD secretly wamsaidie kujua wale wote wanaohusika na dili fake; akishawajua awafanyie auditing pamoja na kuwahamisha au kuwasimamisha kazi.
3. Managers wa kanda, hawa ndio tatizo kubwa; Na hawa hawa ndio ninavyodhani wamemuangusha Bwanakunu,
View attachment 1440743
wachunguzwe Wote ikiwezekana tafuta watu utakaoweza kufanya nao kazi
4. Pata muda wa miezi 6 kusoma supply chain ya MSD, hili ni muhimu sana ili wasije kukuambukiza udokozi
5. Usiwe mtu wa kukaa ofisini tu, Tembelea ghala zote mara kwa mara na uwasikilize kwa makini watendaji wa warehouses, hao ndio wanamajibu sahihi ya MSD.
6. Malalamiko ya watu kuajiriwa kwa kujuana na kwa connections bila kufuata utaratibu wa utumishi usiyapuuze
7. Kuwa karibu na Hospitali zote kubwa nchini Tanzania
8. kuwa makini sana na documents. Huenda waliomtoa Bwanakunu ni watu wa Bwanakunu.
View attachment 1440745
9. Weka macho sana warehouse , Finance na Manunuzi. Hiyo ndio MSD .
Hapana mapenzi kazini. Ni wazi Bwanakunu alifelishwa pia katika hili
Ninaamini Utaweza na sina shaka juu ya Uteuzi wako.
Nidhamu yenu huonekana hadi kwenye picha.
View attachment 1440746
Nitumainie kuona mabadiliko ya namna hii yafanyike na GPSA.
View attachment 1440740
Chanzo cha picha- MSD social media, nipashe online.
Tarehe 5, Mei 2020.
Mk54
Mkuu Mk54 ulistahili upewe meeting ana kwa ana na Brigedia . Umetoa ushauri mzuri sana kupita maelezo.
Katika hoja yako nimependa pale uliposema " Ummy anaonekana yuko busy" Lakini haijulikani yuko busy na nini? Swali hili huwa watu wengi wanajiuliza hasa tukiona kwa Cs Mugai kagwe wa Kenya alivyo busy na juzi wakenya wamefanya Auditing ya pesa ya corona kutoka World Bank wanamtaka akae pembeni pamoja na u busy wote.
Ikimpendeza aseme yuko busy na nini zaidi japo tunajua wizara ya afya ni kubwa sana na ina miradi mingi ambayo iko very tempting penye pesa tamaa huingia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuhitajika daktari kuiongoza MSD. Ni mtaalamu wa Procurement and supply chain tu. MSD haitibu, kazi yake ni kununua madawa na kusambaza. Kumuweka daktari bingwa kuiongoza MSD ni misuse of human resources.
Viatu vikubwa kuliko yeye. Wizara ya Afya ilistahili mtu wa medical proffessional background asiyetawaliwa na ukada toka chama kikuu pia.
Pale MOH wapo wasomi wazuri lakini siasa zinatawala kuliko utalaamu, au mtu wa Kitengo wakati kichwani yuko empty unaenda unampa wizara inayohitaji utalaamu.
Waziri wa Afya its either ni mtu kutoka kitengoni, ukada tunajua ni kada ama laws of nature zitaendelea kumuweka pale mjengoni. Amejitahidi kutuongoza lakini hili la covid kidogo lilimzidi uwezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmm huyu kapelekwa ili kwanza Mkulu anataka control infomation kwa kuwa kwa kuweka mtu ambaye sio mtu wake hawezi kuendana na matakwa yake,naota tu .Ila kingine kwa historia ya Bwana Kunu aliyeondoka ,yeye amefanya kazi sana na mabeberu na mkuu hataki mtu ambaye ameshafanya kazi na mabeberu .Naota pia.So sasa atafanya kazi anachotaka aisee.Mfano si unaona Bunge chini ya Ndungai yaani anamuistract asiwape wabunge wasiohudhuria posho wakati bunge ina taratibu zake na kiongozi yake na sio Amri kutoka juu.Nawaza sana jinsi maisha ya watu yanavyoendeshwa na mtu mmoja bila sheria saa nyingine kufuatwa
Hata iwe global health supply chainSijasema Global Supply chains. Nimesema Global Health Supply Chain.
Thanks
Mk54
Hata umpeleke mtume pale, kama serikali hailipi madeni yake ni bure tu!! Wewe unachukua vifaa/madawa karibia ya bilioni 250,hutaki kulipa taasisi itajiendesha vipi? Mwisho wa siku unatafuta mtu wa kumtoa kafara!! Ndio maana licha ya panga pangua ya kila siku bado hakuna ufanisi wowote, sehemu nyingi!!
Hata iwe global health supply chain
Nothing you spoke represent mtu mwenye uwezo wa kujadili global health supply chain
Zaidi Ni majungu
Hujafanya any analysis iwe ya logistics, modeling , demand etc.
Umemshambulia mtu na watu na majungu
Hujaonyesha chochote chenye depth ya kutambua technical solutions
In short una hasira na watu halafu ukaibeba MSD kwenye hasira zako
.hatujengi nchi kwa mtindo huo
Naona tuna weka wanajeshi kila sehemu ...
Umejipambanua kwa global health supply chainPole. Ila kwa bahati mbaya hii sio mada ya analysis wala masomo ya logistics.
Wala sio mada ya Demand and Planning wala sizungumzii Supply.
Lakini kama itakupendeza, unaweza kufungua uzi wako na kuyaandika hayo uliyoyapendekeza. Itapendeza zaidi kaka.
Nakushukuru sana mkuu.
Mk54
Umejipambanua kwa global health supply chain
Kumbe huna kitu zaidi ya majungu
Watanzania tupunguze hizi tabia zisizo na tija
Aliyetumbuliwa ni nyamulenge piaKama Nyamulenge vile. Nawaza tu.