Je, MSD na Brig. Gabriel Mhidize, Itawezekana?

Je, MSD na Brig. Gabriel Mhidize, Itawezekana?

Ni kweli bro Mk54 yote uliyoyasema. Bwanakunu hakuna anachojua zaidi ya ngono! Mara katembea na Waziri Ummy, mara Mkurugenzi Raslimali watu naye kimada wake anaitwa Vicky Elangwa. sasa wadada adogo wadogo kuna sekretari wake kafagia kuna osisa raslimali watu yuko chini ya Vicky kafagia.

Hayo ndiyo alikuwa anayajua zaidi siyo kazi na majukumu ya MSD. MSD ilikuwa ni mzigo mkubwa sana kwake na ameondoka hajui kazi. Ila ametengeneza sana fedha kupitia rushwa kwenye manunuzi ya dawa
Alikuwa kiwembe sana
 
Kama.ni mdau utagundua changes compared to when he joined

Although transformation could have been better Kama angeteneza good strategies za kushirikiana wadau


The bottom line is, this change was inevitable
Inatoka sweeping statement tu za kuwa Ali transform MSD. Pengine ali transform from efficient supply chain firm to weakest and hopeless institution.
 
Ni kweli bro Mk54 yote uliyoyasema. Bwanakunu hakuna anachojua zaidi ya ngono! Mara katembea na Waziri Ummy, mara Mkurugenzi Raslimali watu naye kimada wake anaitwa Vicky Elangwa. sasa wadada adogo wadogo kuna sekretari wake kafagia kuna osisa raslimali watu yuko chini ya Vicky kafagia.

Hayo ndiyo alikuwa anayajua zaidi siyo kazi na majukumu ya MSD. MSD ilikuwa ni mzigo mkubwa sana kwake na ameondoka hajui kazi. Ila ametengeneza sana fedha kupitia rushwa kwenye manunuzi ya dawa
Mkuu yule mlimbwende wa Customer service atakuwa hajapitwa maana ni lizuri kweli lile dada. Nyama zinatikisika likitembea. Covid liquiiiid hatari fireeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwanakunu alimlisha rais matango pori, kuwa dawa za MSD zinatoka wa wazalishaji, sasa watu wakilinganisha bei wanaona mbona dawa bado ni bei juu.......jamaa ni mwanasiasa kweli.
Tume maalum iliyoundwa na PS- Hazina imegundua kuwa kuna upungufu wa mtaji wa Tsh 30 Bilion uliosababishwa na MSD kufanya under pricing. Ni Ummy Mwalimu na Bwanakunu waliomdanganya Rais kuwa kununua dawa kwa Distributors kama Salama Pharmaceuticals kunasababisha dawa zinunuliwe kwa bei ya juu kwa vile Distributors wanaweka margin (cha juu).

Kwa hiyo hata kwenye hotuba zake akiongelea mafanikio ya Wizara ya Afya Rais alikuwa anatamka wazi wazi kuwa sasa MSD inanunua dawa VIWANDANI kwa hiyo bei zimeshuka.

Ukweli ni kwamba Distributors hao hao akina Salama Pharmaceuticals, Biocare, Pyramid walibadili anuani badala ya kutumia letter head zao na anuani za Tanzania, wakatumia majina ya manufactures wao wanao wawakilisha. Na MSD kwenye kupanga bei wakateremsha kwa makusudi bei za dawa ili kudhihirisha kwa wananchi kuwa DAWA ZIMETEREMKA BEI. Sasa imekula mtaji kwa Tsh 30 Bilioni.

Je Hizo ni akili au matope?

Kwa nini Ummy Mwalimu bado yuko ofsini kama waziri?
 
Tume maalum iliyoundwa na PS- Hazina imegundua kuwa kuna upungufu wa mtaji wa Tsh 30 Bilion uliosababishwa na MSD kufanya under pricing. Ni Ummy Mwalimu na Bwanakunu waliomdanganya Rais kuwa kununua dawa kwa Distributors kama Salama Pharmaceuticals kunasababisha dawa zinunuliwe kwa bei ya juu kwa vile Distributors wanaweka margin (cha juu).

Kwa hiyo hata kwenye hotuba zake akiongelea mafanikio ya Wizara ya Afya Rais alikuwa anatamka wazi wazi kuwa sasa MSD inanunua dawa VIWANDANI kwa hiyo bei zimeshuka.

Ukweli ni kwamba Distributors hao hao akina Salama Pharmaceuticals, Biocare, Pyramid walibadili anuani badala ya kutumia letter head zao na anuani za Tanzania, wakatumia majina ya manufactures wao wanao wawakilisha. Na MSD kwenye kupanga bei wakateremsha kwa makusudi bei za dawa ili kudhihirisha kwa wananchi kuwa DAWA ZIMETEREMKA BEI. Sasa imekula mtaji kwa Tsh 30 Bilioni.

Je Hizo ni akili au matope?

Kwa nini Ummy Mwalimu bado yuko ofsini kama waziri?

Inasikitisha sana. Imagine dawa ya Mzio Cetrizine wananunua kwa hao hao Salama Pharmaceutical; lakini yeye salama Pharmacetical anaingia Kenya na kuwachukulia Dawa. Inaamaana Salama anauwezo wa kuchukua mzigo mkubwa kuliko MSD Bohari ya nchi nzima?

Halafu jamaa anakaa kwenye media na kutuambia dawa zinapatikana kwa asilimia 90. Huwa nasema hawa jamaa ni vichaa mbona. Nimekaa Halmashauri dawa tunanunua kwa makampuni binafsi ambazo ndio hizo MSD wanasema dawa zinapatikana kwa asilimia 90; hawa watu ni kupigwa viboko. Akaunti zao zichunguzwe na transaction zote ziangaliwe na nyumba zao zichunguzwe maana hawa watu wanatabia ya kuweka hela ndani.

Sometime unaweza kusema JPM anatumbua tumbua tu; lakini ukweli ni kwamba watumishi wengi sio waaminifu. Mm napendekeza mbali na kutumbua; hawa watu wawe bankrupt na ku hold akaunti zao zote hadi uchunguzi ukamilike.

Ila Suppliers na Ummy wakiweza kumuingia mwanajeshi na kumuambukiza udokozi wao, nitasema dahhhh; kweli pesa mwanaharamu.
 
Kama.ni mdau utagundua changes compared to when he joined

Although transformation could have been better Kama angeteneza good strategies za kushirikiana wadau


The bottom line is, this change was inevitable

Mwenyewe anaamini ameibadili kwenye chanya


Mk54
 
Tunapenda sana taarifa kama hizi. Ukweli ni kwamba Brig. General Dr. Gabriel awe makini sana. Apangue timu sana.
Huwezi amini ukifika ofisi za MSD zozote utaona zipo busy sana. Lakini ukienda vituo vya Afya hata panadol hawana.na hili Ummy wala hayupo nalo aware. Hawapendi kusemwa vibaya maana wanaficha mengi. Tupo hapa kujenga na huwezi kujenga kama ukweli haupo uchi. Sanitizers watu wamelipa pesa na bado hawapati hivo vitakatisha mikono.
Wakati nipo Halmashauri nilishawahi kuandika barua kwa Hussein Mwinyi kuomba MSD ivunjwe baada ya kupeleka oda yangu na kulipia pesa taslimu. Nilikaa miezi 14 bila kupata mzigo mpaka nahama Halmashauri mzigo haujaja ikabidi nifanye Hand Over.

Bohari ya Dawa ni mnunuzi wa nchi, ana mamlaka ya kufanya lolote. Wanakosaje panadol? Hebu nendeni mkaulize panadol kwa muda huu, unaweza kuambiwa haipo, hihi: Bei zao ndio usiseme. Yaani Supplier ananunua dawa kenya, lakini MSD inaenda kununua dawa kwa huyo Supplier,inamana supplier ana nguvu kuliko MSD au ?
Bwanakunu alimlisha rais matango pori, kuwa dawa za MSD zinatoka wa wazalishaji, sasa watu wakilinganisha bei wanaona mbona dawa bado ni bei juu.......jamaa ni mwanasiasa kweli.

Brig. General yafanyie kazi hayo maeneo ili watanzania wasiokuwa na Bima ya Afya angalau wakifika Hospitali za umma wapate hizo dawa muhimu.
Inshaallah Mola atamsadia General afanye kazi yake kwa weledi na ufanisi
 
Naam unemaliza yote nalandana nawe bila kupunguza neno!
 
kabisa, daktari bingwa kama yule anaenda kusimamamia manunuzi ya panadol, dawa mseto na nyingine, ni utumiaji mbaya sana wa wataalam. japo bado naamini wapo wengi hasa ktk jeshi, angemteua hata aliekuwa msaidizi wake pale lugalo.....nchi inatawaliwa kijeshi kimya kimya....

Hakuna tatizo. Hata huko jeshini alikuwa katika Level za Management. Hakuwa anatibu.


Mk54
 
Delivery packs ni ile mifuko au package kwa ajili ya kina mama kujifungua. Kwa hiyo usifanye wote wajinga.. Ni uhakika Bahari alikukamata. Unaugulia maumivu. Hiyo ndio biashara, move on. Ulishindwa, inatosha. Mara mlolongo wa malipo na blah blah.

Sio dawa bali ni kifaa Tiba. Kutamka Hivyo ni mawazo yako. Unashindwa kuelewa the good intention of this thread


Mk54
 
Ni kweli MSD au GPSA sio taasisi rahisi kabisa, ni ngumu na zina temptation nyingi sana na ni rahisi sana kutumika na wanasiasa wa juu. Ikiwemo na Waziri mwenyewe.

Ndio maana wengi wanashauri, kama Bwanakunu ameondolewa, basi kuna haja ya Ummy mwalimu nae kuchunguzwa maana kuna mengi yanasemwa chinichini juu ya wawili hawa. Isipuuzwe hata kidogo.

Mradi wa Delivery Pack alizokuwa anazitangaza Bwanakunu, ni mradi wa mtu binafsi kwa kushirikiana na Bahari Pharmacy na asilimia 90 ya vituo vya Afya walikuwa hawataki kabisa lakini ilikuwa ni lazima upewe na utozwe pesa kupitia akaunti yako kwa barua ya Ummy mwalimu.

Aidha, Ummy Mwalim na Bwanakunu na katibu Afya Dr. Zainabu wamefeli sana katika suala zima laCOVID 19. Wao ndio sababu ya Watz kupigwa kwenye Sanitizer na Barakoa.

Ummy anaonekana yupo busy lakini hajulikan yupo busy na nini!! Kazi ya kuwachunguza maabara amepewa Mwigulu, badala yake yeye Ummy kwa kujihami ndio kaenda kuunda tume . Hii yote ni ishara kwamba huyu mtu sio sahihi kwenye wizara kubwa kama hiyo. Anazunguka. So sad.

Nimeridhika na uteuzi wa JPM juu ya Gabriel, kwanza ni Doctor( japo ilitakiwa awe Pharmacist lakini tofauti ni ndogo sana).

Nina elewa kwa undani nidhamu ya wanajeshi, tazama hiyo picha utaelewa ninachomaanisha.

View attachment 1440740

pamoja na hilo Brigedia atambue kwamba haitokuwa rahisi kuongoza taasisi kama MSD, haitokuwa rahisi hata kidogo, MSD ni taasisi yenye malalamiko na utendaji mmbovu kuwahi kutokea. Tangu na Tangu na kabla hata ya Bwanakunu.
View attachment 1440741

Kwa uzoefu wangu wa Global Health Supply Chain, nina mshauri yafuatayo ndugu Brig. General Dr Gabriel Mhidize;

1. Apendekeze kupanguliwa safu ya wakurugenzi, hasa Kurugenzi ya Ugavi, Kurugenzi ya Manunuzi na Kurugenzi ya Rasilimali watu. Akiendelea kufanya kazi na wakurugenzi hao, atatumbuliwa mapema kabisa

2. Akae na wakongwe wa MSD secretly wamsaidie kujua wale wote wanaohusika na dili fake; akishawajua awafanyie auditing pamoja na kuwahamisha au kuwasimamisha kazi.

3. Managers wa kanda, hawa ndio tatizo kubwa; Na hawa hawa ndio ninavyodhani wamemuangusha Bwanakunu,
View attachment 1440743
wachunguzwe Wote ikiwezekana tafuta watu utakaoweza kufanya nao kazi

4. Pata muda wa miezi 6 kusoma supply chain ya MSD, hili ni muhimu sana ili wasije kukuambukiza udokozi

5. Usiwe mtu wa kukaa ofisini tu, Tembelea ghala zote mara kwa mara na uwasikilize kwa makini watendaji wa warehouses, hao ndio wanamajibu sahihi ya MSD.

6. Malalamiko ya watu kuajiriwa kwa kujuana na kwa connections bila kufuata utaratibu wa utumishi usiyapuuze

7. Kuwa karibu na Hospitali zote kubwa nchini Tanzania

8. kuwa makini sana na documents. Huenda waliomtoa Bwanakunu ni watu wa Bwanakunu.
View attachment 1440745

9. Weka macho sana warehouse , Finance na Manunuzi. Hiyo ndio MSD .

Hapana mapenzi kazini. Ni wazi Bwanakunu alifelishwa pia katika hili

Ninaamini Utaweza na sina shaka juu ya Uteuzi wako.

Nidhamu yenu huonekana hadi kwenye picha.
View attachment 1440746

Nitumainie kuona mabadiliko ya namna hii yafanyike na GPSA.
View attachment 1440740
Chanzo cha picha- MSD social media, nipashe online.

Tarehe 5, Mei 2020.



Mk54
Serikali inadaiwa shilingi ngapi na MSD?
 
Hata umpeleke mtume pale, kama serikali hailipi madeni yake ni bure tu!! Wewe unachukua vifaa/madawa karibia ya bilioni 250,hutaki kulipa taasisi itajiendesha vipi? Mwisho wa siku unatafuta mtu wa kumtoa kafara!! Ndio maana licha ya panga pangua ya kila siku bado hakuna ufanisi wowote, sehemu nyingi!!
MSD inalipwa kila mara acha uongo!
 
Serikali inadaiwa shilingi ngapi na MSD?

Sasa kama hamjapelekewa pesa mnafanya nini hapo Keko Mwanga Madawa? Fungeni ofisi. Serikali imekuwa ikitoa pesa mara zote; mnapozipeleka mnajua nyie.

Kwanza MSD ni taasisi yenye umri zaidi ya Miaka 20 Na mnauza Dawa bado mnataka serikali iwape pesa kila siku.?

Shida hamjiongezi. Halafu mpunguze politics. Fanyeni kazi. Serikali haidaiwi na MSD na Ngosha alisema amewapa Bil 300 kwa ajili ya dawa; mmepeleka wapi hizo pesa?


Mk54
 
Uzi mwingine huo someni malalamiko ya MSD kwa wale wanaosema nimeandika majungu. Kumbe kuna shida mpaka kwenye kuajiri.


Mk54
 
Na ndiyo aliyemuharibu huyo Serengeti Boy wakes jamaa alikuwa anatulisha matangopori ukimaikiliza YouTube utasema huyu ndio Mkurugenzi. Katumika sana na dili fake. Sijui hata alidumu vipi 5 years


Mk54
Lakini katajirika kupindukia. Nasikia kajenga bonge la hoteli Mwanza na kwao Rwanda.
 
Back
Top Bottom