Kabisa. Na tangu mwanzo nilishawahi kusema huyu ma’am sio suitable. Mwenyewe yupo yupo tu na anajificha nyuma ya pazia kwamba yeye sio Technical Personel.
Alikuwa anataarifa zote za Covid 19 kabla hata kutangaza. Alikuwa akiulizwa juu ya maandalizi anajibu utumbo sana.
Ilipoingia Corona hajui cha kufanya; matokeo yake watu wanamuona yupo busy sana. MSD imeanza kufanya manunuzi ya vifaa hivyo wakati Corona imeshatupiga. Ikawa overloaded hata Sanitizer hawana . Barakoa hawana na zote wanaagiza nje.
Kweli waziri na Bwanakunu walishindwa kukaa na local manufacturers wa Sanitizer na Barakoa kuzalisha hivyo vitu kwa watanzania?
Unaona kabisa hawa watu ilikuwa ni mwisho wao wa kufikiri.
Wao wapo busy na mambo ya kikubwa
Mk54