Unamjua sana,kwa sababu ni padre. Mtaliani wajifanya humjui dah makubwa haya!Nyerere aliamuru awekwe ndani mara moja na kujibu mashtaka ya kuidharau serikali
Ni baada ya kusema serikali Yote ipo mfukoni kwake,nimesahau ni raia wa nchi gani lakini nchi yake ilimpigia magoti nyerere ili amwachie,
Alikuja kuachiwa kwa sharti la kutokanyaga tanzania tena
Edha Awadh anamiliki Camel Oil na siyo Lake Oil
Inawezekana ndo maana baba yake hajishughulishi na kufufua reli ya kati, ili biashara ifanyike. Maana siku hizi, biashara za wakulu wa hano ni vituo vya mafuta na usafirishaji.
Sikiliza mkuu,watu hawana shida na kupata utajiri kwa yeyote. Kinacholeta kelele ni jinsi ya kupata utajiri huo. Sasa hivi kuna kelele kubwa sana kuhusu hii biashara ya unga na jinsi inavyo haribu vijana wetu,kulitia aibu taifa letu na kusababisha mamia ya watanzania kutumbukia katika magereza au kunyongwa huko nje ya nchi huku wachache wakitumbua fedha za madawa hayo.
Nchi kama Marekani inatumia mabilioni ya dola kupambana na biashara hiyo kwa vile ukiichekea utafika wakati zaidi ya nusu ya Wananchi wako ni mateja kama yale unayoyaona mitaa a Kinondoni.. jee hapo kuna Taifa kweli. Ajitokeze na kujibu tuu ni jinsi gani amepata ukwasihuo kwa kipindi kifupi? Na jee hizi tuhuma yeye anahusikaje?
Hilo ndilo watu wanataka, na ni vizuri kama kwa nafasi yake kuwa mtoto wa Rais awafundishe njia hizo(kama ni halali) vijana wengine wa Kitanzania ili wainuke kiuchumi sio kufanya mambo ya vificho.
Nyerere aliamuru awekwe ndani mara moja na kujibu mashtaka ya kuidharau serikali
Ni baada ya kusema serikali Yote ipo mfukoni kwake,nimesahau ni raia wa nchi gani lakini nchi yake ilimpigia magoti nyerere ili amwachie,
Alikuja kuachiwa kwa sharti la kutokanyaga tanzania tena
Mzee papuchi tunasubiri taarifa yako ( I am sure huwezi post kitu )
Tunazisubili mkuu miaka imepita ujue au unafikiri hatuna reminder??Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.