Mr. Miela
JF-Expert Member
- Aug 2, 2007
- 1,226
- 2,055
Ukiingiza kadi kwenye atm machine ikatoa pesa je pesa ni za atm au ww ulieingiza iyo kadi?Habari?.
Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" .
Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto aliyezaliwa na mama hana haki na huyo mtoto?. Kwanini msiseme "mtoto wetu"?